Voiced Voice
JF-Expert Member
- Feb 1, 2018
- 248
- 249
Hivi vyama vya siasa mmeshindwa kuweka mawakala kila kituo? vipi zile karatasi za matokeo zinazibandikwa nje ya kila kituo na wakala kupewa nakala mnashindwa kuzipata? tuache kulalamika kwa kupayuka tu. waamvie mawakala wakusanye matokeo ya kila kituo kisha leteni hapa data zote na vielelezo sahihi. au hamuwaamin hataawakala wenu?