spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
Wadau huwa tunalaumu makofi yasiyo na Tija Bungeni.
Sasa leo ndio nitaamini kama ile research iliyosema panapo watu wanne mmoja ni hamnazo.
Kwanza suala la fao la kujitoa linaathiri vibaya sana sector yotote binafsi ktk nchi ya uchumi huu unaofanyiwa ukarabati.
Inashangaza sana kuona wao ndio walipendeza fao jipya la kukosa ajira kama mbadala wa kujitoa wakati wanajua wazi kuwa, kwa mujibu wa ILO fao la kukosa ni allowances wanayopewa ambao hawajapata kazi hivo serikali inabidi iwalee.
Mfanyakazi ambaye amefanya muda mrefu na kazi yake kukoma kwa namna yoyote akitaka kujitoa ktk fao ni ahueni kwa nchi maana ataanzisha mgahawa au mradi wowote na kuajiri wengine huku akiacha NAFASI wasio kazi kuingia ktk ajira na NGUVU mpya MAWAZO mapya na MBINU za kisasa.
Kuendelea kurundika watu wasubiri miaka sitini matokeo yake zile pesa wanazipata na hawawezi kuzisimamia.
Sema kweli TUCTA haina tija kama shirikisho iwapo leo watawapitisha hao wasiliti ambao kiuhalisia ni wabunge wa tarajiwa kwa hiyo ni makada.
Kuna vyama vingi vinaumia kwa mawazo finyu pendekezwa, ni dhahiri pasipo shaka leo ndio mtakata mzizi huu dhaifu.
Vyama vya wafanyakazi vimekuwa matawi ya vyama vya siasa, fanyeni jambo na sisi tuone kuwa tunawawakilishi.
Shukrani
Sasa leo ndio nitaamini kama ile research iliyosema panapo watu wanne mmoja ni hamnazo.
Kwanza suala la fao la kujitoa linaathiri vibaya sana sector yotote binafsi ktk nchi ya uchumi huu unaofanyiwa ukarabati.
Inashangaza sana kuona wao ndio walipendeza fao jipya la kukosa ajira kama mbadala wa kujitoa wakati wanajua wazi kuwa, kwa mujibu wa ILO fao la kukosa ni allowances wanayopewa ambao hawajapata kazi hivo serikali inabidi iwalee.
Mfanyakazi ambaye amefanya muda mrefu na kazi yake kukoma kwa namna yoyote akitaka kujitoa ktk fao ni ahueni kwa nchi maana ataanzisha mgahawa au mradi wowote na kuajiri wengine huku akiacha NAFASI wasio kazi kuingia ktk ajira na NGUVU mpya MAWAZO mapya na MBINU za kisasa.
Kuendelea kurundika watu wasubiri miaka sitini matokeo yake zile pesa wanazipata na hawawezi kuzisimamia.
Sema kweli TUCTA haina tija kama shirikisho iwapo leo watawapitisha hao wasiliti ambao kiuhalisia ni wabunge wa tarajiwa kwa hiyo ni makada.
Kuna vyama vingi vinaumia kwa mawazo finyu pendekezwa, ni dhahiri pasipo shaka leo ndio mtakata mzizi huu dhaifu.
Vyama vya wafanyakazi vimekuwa matawi ya vyama vya siasa, fanyeni jambo na sisi tuone kuwa tunawawakilishi.
Shukrani