kwanza mfumo wa uchaguz wa huyu jamaa TUCTA hauelewek,pia kwa umbumbu wa wanaowakilisha huyu kada lzma apite make njaa wabongo imezd!
We jamaa kila kitu na wewe kinakuhusu duu
Hongereni sana wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi kwa kuwaondoa viongozi wote wa TUCTA tunataka chama imara
Labda ispokuwa this time, mambo yalikuwa magumu sana jana.
Angina nifuatilie majina lakini vigogo wote out
Inaonekana una nyeti nyingi mkuu.
Sasa kama ni wale wale hii sasa balaa