Nafikiri picha zinasema kuliko maneno mtoto wa mgimwa ni kwamba hakubaliki na sababu kuu ni kuwa wana kalenga wanachukia political dynasty kwamba alikuwa anatawala baba sasa hayuko basi mtoto achukue nafasi yake na ili lilianza tu mara tu baada ya kura za maoni wenyewe kwa wenyewe ndani ya ccm wengi wao waliona haikuwa busara kwa mtoto kupewa nafasi na baadhi waka suggest asubiri mpaka 2015.
mwalimu Nyerere ambaye ndiye muasisi wa chama hicho alikemea sana tabia hii mbaya ya kubadilisha madaraka kifamilia na yeye alikuwa ni kiongozi alionyesha mfano kwani hakuwahi kumrithisha madaraka mwanae yeyote na alikuwa akipinga hali hii na wapinzani wao wamekuwa wakitumia kauli za muasisi huyo kuwakumbusha wana kalenga ubaya wa political dynasty kwa kunukuu kauli mbalimbali za Mwl.Nyerere akikemea Political Dynasty. chadema waanze kujiandaa na siasa chafu za ccm kama walizocheza igunga ikiwemo kuchoma mabanda ya watu usiku huku wachomaji wakikimbia wakiwa na bendera za chadema au uniform za chadema na hizi ni dalili za wazi za ccm kuanza kushindwa kwa kuanza kulia kutekwa kwy majukwaa ya siasa huku polisi wanakujua hawaendi
mwalimu Nyerere ambaye ndiye muasisi wa chama hicho alikemea sana tabia hii mbaya ya kubadilisha madaraka kifamilia na yeye alikuwa ni kiongozi alionyesha mfano kwani hakuwahi kumrithisha madaraka mwanae yeyote na alikuwa akipinga hali hii na wapinzani wao wamekuwa wakitumia kauli za muasisi huyo kuwakumbusha wana kalenga ubaya wa political dynasty kwa kunukuu kauli mbalimbali za Mwl.Nyerere akikemea Political Dynasty. chadema waanze kujiandaa na siasa chafu za ccm kama walizocheza igunga ikiwemo kuchoma mabanda ya watu usiku huku wachomaji wakikimbia wakiwa na bendera za chadema au uniform za chadema na hizi ni dalili za wazi za ccm kuanza kushindwa kwa kuanza kulia kutekwa kwy majukwaa ya siasa huku polisi wanakujua hawaendi