Uchaguzi Igunga: Ni lini Upinzani utajifunza?

Mo-TOWN

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,721
515
Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.

Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).

Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space

Soma Je Mkapa Umeona jinsi wana-Igunga tunaichukia CCM yako?
 
Hata ww haujajifunza bado, SWALI KWAKO; Kama upinzani hauwezi kushinda ilikuwaje asilimia 80% ya CCM ikashuka hadi 61%,na (b), ilikuwaje CHADEMA kikashinda majimbo 21 kwa kishindo na (c), kama CHADEMA haikushinda ilikuwaje CCM wakachakachua mpaka leo hii Makame anastaafu NEC haijawahi kutoa data za matokeo kama taharifa rasmi?

NB: Majibu yako ni muhimu mkuu.
 
Matokeo hayajatanganzwa,isitoshe sasa hivi bado watu wanapiga kura, wewe unasema ccm wanashinda kwa 20%.una matatizo wewe
 
Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.

Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).


Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space

Fikra zako ni mgando sana.Kwani ni lazima tuwe na chama kimoja cha upinzani?Kwa jinsi CDM ilivyo na nguvu inahitaji kusaka kuungwa mkono na CUF?Kwa lipi hasa wakati CUF ni CCM B kwa sasa?Kama umefuatilia kampeni za Igunga unawezaje krahisirahisi kuwapa Magamba ushindi wakati mchuano unaonekana ni mkali?Badilika mkuu.
 
Sioni ni wapi MoTown amekosea, yuko sahii kwa wazo alilokuja nalo: ushirikiano kwa vyama upinzani ili kuin'goa CCM ni muhimu sasa, hivi vyama vyetu vya upinzani unakuta vinapingana vyenyewe kwa vyenyewe ni hatari na itatuchukua muda kufanya kama watu wa Zambia.

we just imagine endapo CCM kule Igunga ikipata 20% ya kula zote na zikabaki 80% zikagawanywa kwa vyama 7 ina maana kila chama kitapata 11.4% ambazo ni ndogo sana huyo ni mfano.

Inabidi tufikilie kwa makini kama tunania ya kuachana na haya magamba kwa ujumla
 
Kwanza Chama kama Chadema waungane na chama gani ?
Kuna vyama vilikuwa igunga muda wote nimevisikia leo navyo vya kuungana na Chadema .KUna vyama kama Bakwata, KAFU na CCM wao wameungana kwa maslahi ya matumbo yao si taifa .
 
Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.

Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).

Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space


Ukitumia akili kidogo tu utagundua vyama vya upinzani haviwezi kuungana.
Hivi kweli cdm ikiungana na cuf si ndio ccm wanafanya party? Hata mm nitahamia Zambia!
 
Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.

Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).

Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space

Stori kama hizi mkuu ni zilipendwa. Unapoongelea upinzani unamaanisha nini hasa?, Katika uchaguzi wowote ule vyama vyote vinavyoshiriki ni pinzani. Kwa taarifa yako ni kwamba wananchi sasa wanaakili sana kuhusu elimu ya uchaguzi na vyama makini kuliko 1995, 2000, 2005 and 2010. Ni nani asiyejua kuwa kuna vyama vya siasa vimeanzishwa na CCM kwa siri strategically?. Under free and fair election CCM haina chake katika chaguzi za Tanzania ya leo. Napoongelea free and fair election nina maana kuwa
  1. Tume huru ya uchaguzi inayofanya kazi kama chombo kinachojitegemea na wafanyakazi wake hawatokani na hisani ya kupewa madaraka na serikali ya CCM
  2. Kila mtu mwenye sifa za kupiga kura anapiga kura bila ya kuangaishwa au kukuta jina lake halipo
  3. Matokeo ya vituoni yanakuwa ndiyo ya Mwisho na kila chama kilichoshiriki kinaondoka na kopi ya matokeo ya kituo na kuwa na kuyajumlisha, kama vile mwanafunzi anapopata matokeo yake ya mtihani na kujumlisha kujua amepata wastani wa ngapi
  4. Msimamizi wa uchaguzi hana ya haki ya mwisko ya kumtangaza mshindi bali ni kujumlisha kwa uwazi matokeo yote ya vituo, kata na jimbo kwa ajili ya official documentation na kuyasini baada ya kukubaliana na tallies za vyama vyote.
  5. Kama mtu hajaridhika na matokeo ya uchaguzi anapinga mahakamani na kwa kupinga huko Jimbo linakuwa wazi mpaka shauri likiamuliwa na mahakana inapewa miezi mitatu ya kuammua baada ya ushahidi kuwasilishwa mfululizo.
 
Cha msingi CDM inabidi iendelee kukaza buti, ifanye mambo yake kwa uhakika bila kuteteleka huto tuvyama tudogotudogo na wapambe wao wataifuata tu; hata kama ushindi kwa leo usisopatikana CDM hatupaswi kukata tamaa.
 
Kwanza Chama kama Chadema waungane na chama gani ?
Kuna vyama vilikuwa igunga muda wote nimevisikia leo navyo vya kuungana na Chadema .KUna vyama kama Bakwata, KAFU na CCM wao wameungana kwa maslahi ya matumbo yao si taifa .

wewe ni masaburi kweli..nani amekwambia bakwata ni chama....acha udini na hufai kuwepo ktk great thinkers.
 
Kuungana ni hiari,na ni pale ambapo vyama vyenyewe vina sera na mikakati inayoendana na kuwa na maelewano yanayofahamika
 
Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.

Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).

Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space

How old are you?
 
Sioni ni wapi MoTown amekosea, yuko sahii kwa wazo alilokuja nalo: ushirikiano kwa vyama upinzani ili kuin'goa CCM ni muhimu sasa, hivi vyama vyetu vya upinzani unakuta vinapingana vyenyewe kwa vyenyewe ni hatari na itatuchukua muda kufanya kama watu wa Zambia.

we just imagine endapo CCM kule Igunga ikipata 20% ya kula zote na zikabaki 80% zikagawanywa kwa vyama 7 ina maana kila chama kitapata 11.4% ambazo ni ndogo sana huyo ni mfano.

Inabidi tufikilie kwa makini kama tunania ya kuachana na haya magamba kwa ujumla

Hivi vyama vya upinzani unavyozungumzia ni vipi hivyo mkuu ?
au nijamii ya vile vya akina Mutamwega hahahahaa

Hivi inaleta tija gani kuungana na vyama dhaifu, ni uvivu tu wa kufikiri au ni uoga binafsi?

Huvi hivyo vyama vingine vinavyoweza kugawana kura sawa na CDM kwa mtazamo wako?

Tuache akili za kike kusindikizwa kicmani na mtoto mdogo eti tu kwa kua niwakiume.
 
Huwezi kujenga demokrasia kwa kuunganisha vyama kwenye chaguzi, vyama vitajifuta vyenyewe na imara vitahimili na kuishi, huwezi kulazimisha watu wenye itikadi na malengo tofauti waungane hilo litakuwa ni kuua demokrasia
 
Hapa hakuna utitiri kama unavyodai. Ila kuna vyama makini vya upinzani na matawi ya ccm. Haya matawi yamepewa jina la upinzani ili kuwahadaa watu na kucheza na akili za watanganyika.


Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.

Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).

Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space
 
Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.

Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).

Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space

Kujifunza kwa upinzani sio lazima iwe kwa style hii unayotaka wewe. Uchaguzi mkuu uliopita hakuna mpinzani aliyemuachia mwenzake lakini bado walishinda baadhi ya majimbo.

Hata pale ambapo baadhi ya vyama vya upinzani vilishindwa kusimamisha wagombea bado ccm ilishinda mfano mzuri ni igunga yenyewe.

Kwahiyo observation yako haina mantiki kabisa.
 
Ushirikiano wa vyama ni muhimu hata kama mnatofautiana kinachowaunganisha ni kumwondoa ccm madarakani baada ya hapo vyama ndio viangalie utofauti wa sera zao. Tofauti na hilo kama ni haya tunayoyaona Igunga; vyama kugombana wao kwa wao, mifano ya Kenya na Zambia haitatokea kwetu hapa!
 
Ni muda wa watanzania kuchagua watu ambao wataisaidia nchi na si mpaka wapinzani waungane, suala ni nani anachaguliwa, hivyo wananchi wanatakiwa kugutuka na kuchagua 1. chama ambacho wanaona kitawasaidia 2. mtu ambae atakuwa msaada kwao , kwa kuzinga tia haya ccm kwao itakuwa mwisho.
 
Back
Top Bottom