kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Natumia neno upinzani nikimaanisha kuwa upinzani unatarajiwa au walau unapashwa kuwa na united front...after all wanapingana na timu moja-chama tawala.
Swali kuwa lini upinzani utajifunza linatokana na matokeo ya uchaguzi wa Igunga hii leo. Ukweli ni kwamba CCM watashida (kihalali au kiwizi) kwa kupata 20% ya kura wakati Upinzani collectively watagawana 80% (vyama 7).
Ushindi wa CCM Igunga God forbid...uwe wa kihalali au kwa wizi kutatokana na exposure kwa wapinzani kwa kukosa umoja miongoni mwao. Watch this space
Hivyo vyama vingine viweke upande wa ccm, kwa hiyo ni kwamba vyama ni viwili tu ccm na cdm.