<br />Usituletee mambo yako ya kipuuzi, hebu nipe sheria inayomkataza DC kutokuhudhuria mkutano wa hadhara. Huo nio mhadhara na mtu yoyote anaweza kuhudhuria...vikao vyenu vya kamati au halmashauri zenu zinahudhuriwa na wajumbe....ila hadharani mtu yoyote anaweza kuhudhuria.....Acha pumba/mataputapu!!
<br />
wewe miaka 50 uhuru bado unaendekeza matusi,hivi matusi ina maana ni hazina pekee ulijaliwa nayo kichwani mwako.au unataka kusema kuwa CCM wamebinfsish kichwa chako