wana JF haya ni maoni yangu na ninafikiri ndio utakaokuwa ukweli wenyewe; kutokana na nguvu kubwa waliotumia chama tawala ccm katika uchaguzi mdogo wa Igunga, kwa maoni yangu mimi chama cha mapinduzi (ccm) kitaibuka kidedea katika uchaguzi huu. kwa mantiki hiyo natabiri kuwa matokea yatakuwa kama ifuatavyo:
1. Mgombea wa CCM atapata= 67%
2. Mgombea wa CUF atapata= 23%
3. Mgombea wa CHADEMA atapata= 8%
4. Wagombea wa vyama vingine watapata kwa ujumla wao = 2%
HONGERA SANA CCM!!! PLOLENI SANA MAGWANDA KWA KULIZWA KWA MARA NYINGINE TENA!
1. Mgombea wa CCM atapata= 67%
2. Mgombea wa CUF atapata= 23%
3. Mgombea wa CHADEMA atapata= 8%
4. Wagombea wa vyama vingine watapata kwa ujumla wao = 2%
HONGERA SANA CCM!!! PLOLENI SANA MAGWANDA KWA KULIZWA KWA MARA NYINGINE TENA!