Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.

President Elect

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
693
212
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.

Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.

Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
masaburi yako
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.

Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Kwanza jina lako lina makosa ya kiufundi!
Lakini pia , who are you by the way, kiasi uone kuvaa magwanda itakuwa issue kwa jamii?
 
hatukuhitaji kaa huko huko kwenye magamba.... Msekwe vipi mmempa siku ngapi?
HATUKUHITAJI hatuna haja na watu wanaotumia kufikiri aliosema Masaburi..
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.<br />
<br />
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.<br />
<br />
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />
<br />
exchuse us, who are u any way
 
Unafikiri kwamba kwa wewe kufanya hivyo kuna uzito wowote?Kwa nini?Jambo kubwa na la pekee na ambalo liko wazi ni kuwa chadema ikishinda itakuwa imepata mbunge ambaye ataongeza nguvu ya kambi rasmi ya upinzani ndani ya bunge na hata nje ya bunge.

Vilevile ushindi kwa cdm utawapatia wana igunga mwakilishi ambaye atakuwa ni mhimili wao mkubwa kuwasemea na kuwatetea kwa dhati kama ambavyo ni kawaida kwa wabunge wengine wa cdm.Haya ni maendeleo yenye tija kubwa kwa igunga na taifa kwa ujumla kuliko kuvaa gwanda kwa president elect.
 
Hata iweje siwezi enda chama chenye viongozi masilhi (by shibuda) na chama kinachoongozwa na wezi (Lema ni mwizi wa magari, by Zombe). Kwa lugha rahisi na yakueleweka hiki si chama kiadilifu kwa watanzania. Mark my words.
<br />
<br />
msekwa nae ni mwizi sasa huko magambani nani msafi? ndo maana alishindwa kuwapa barua mapacha watatu.
 
Naona unatafuta umaarufu tu.....Ondoa upupu wako humu, baki kwa Magamba CDM haitaki wagonjwa wa akili. Tatizo lenu mnatumia makalio katika kufikiri.
 
Hata iweje siwezi enda chama chenye viongozi masilhi (by shibuda) na chama kinachoongozwa na wezi (Lema ni mwizi wa magari, by Zombe). Kwa lugha rahisi na yakueleweka hiki si chama kiadilifu kwa watanzania. Mark my words.
<br />
<br />
 
Hata iweje siwezi enda chama chenye viongozi masilhi (by shibuda) na chama kinachoongozwa na wezi (Lema ni mwizi wa magari, by Zombe). Kwa lugha rahisi na yakueleweka hiki si chama kiadilifu kwa watanzania. Mark my words.
Walewale mnaoishi ulimwengu wa kufikirika. Pole sana.
<br />
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.<br />
<br />
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.<br />
<br />
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />
<br />
hahaaa! Malaria Sugu huchoki na pumba zako
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.<br />
<br />
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.<br />
<br />
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />
<br />

Huwezi kupewa 'gwanda' until you prove beyond reasonable dought that you are one of us!
 
we nan adi kuja kwako cdm watu washangae hacha upuzi kama huna thread usikurupuke mshirikishe shemeji alie muoa dada yako
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.

Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!


kuna wakati nafikiria hivi vyuo vifunguliwe haraka maana mkiwa mtaani ni tatizo kubwa, japo nivyuo vya kata lakini vinasaidia kupunguza uchafu huku mtaani kwa kuwaweka busy. vp wewe upo chuo cha kumbukumbu ya mwl nyerere pale kigamboni au?
 
Mpumbavu hata umtwange kwenye kinu cku saba na badae umpete hatabaki vilevile upumbav wake hauta mtoka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom