Wakuu JF,uchaguzi uliokuwa umepangwa ufanyike leo tar 16 June 2011,umeahirishwa baada ya mgombea nafasi ya uenyekiti ya tume ya uchaguzi wa serikali ya wanafuzi aliyeshindwa kwenda mahakamani kuchukua pingamizi kwa madai kuwa hakutendewa haki.
Anadai kuwa yeye ndo alipaswa kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ambayo ndo yenye mamlaka ya kusimamia uchaguzi wa serikali ya wanafunzi IFMSO,hivyo amekataa kumtambua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya sasa ambayo ilikuwa katika hatua za mwisho za kuwezesha uchaguzi kufanyika.
Baada ya pingamizi hii toka mahakamani,msajili wa wanafanzi kwa amri ya mkuu ya chuo akatangaza kuwa uchaguzi huo umeahirishwa.
katika kudodosa chanzo hasa cha kuvurugika kwa uchaguzi huo,nimeambiwa kuwa mtoa pingamizi huyo inasemekana anafandiliwa na chama tawala kupitia mbunge wa eneo hili kilipo chuo cha usimamizi wa fedha na pia kuna agents wake ama wa chama chake ndo wanashikilia bango mtoa pingamizi huo asimamie uchaguzi na hivyo iwe rahisi kuweka watu kwa interest za chama...
kwa upande mwingine imesemekana huyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi aliyemshinda mweka pingamizi ,ana muelekeo wa siasa za upinzani dhidi ya chama tawala....
nawakilisha.
Anadai kuwa yeye ndo alipaswa kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ambayo ndo yenye mamlaka ya kusimamia uchaguzi wa serikali ya wanafunzi IFMSO,hivyo amekataa kumtambua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya sasa ambayo ilikuwa katika hatua za mwisho za kuwezesha uchaguzi kufanyika.
Baada ya pingamizi hii toka mahakamani,msajili wa wanafanzi kwa amri ya mkuu ya chuo akatangaza kuwa uchaguzi huo umeahirishwa.
katika kudodosa chanzo hasa cha kuvurugika kwa uchaguzi huo,nimeambiwa kuwa mtoa pingamizi huyo inasemekana anafandiliwa na chama tawala kupitia mbunge wa eneo hili kilipo chuo cha usimamizi wa fedha na pia kuna agents wake ama wa chama chake ndo wanashikilia bango mtoa pingamizi huo asimamie uchaguzi na hivyo iwe rahisi kuweka watu kwa interest za chama...
kwa upande mwingine imesemekana huyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi aliyemshinda mweka pingamizi ,ana muelekeo wa siasa za upinzani dhidi ya chama tawala....
nawakilisha.