Uchaguzi 2020 Uchaguzi huu watu wengi hawawajui wagombea wao wa Udiwani na Ubunge. Je, sababu ni nini?

ryan riz

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
422
675
Kichwa cha habari chajieleza, uchaguzi mkuu wa mwaka huu kiukweli nje ya wasanii kujaza watu au watu kuja kushangaa mtu aliyepigwa risasi nyingi kwenye kampeni,ni uchaguzi ambao kampeni zake hazivutii wala kusisimua kabisa.

Hii imepelekea viongozi wa nafasi za Urais wa hivi vyama viwili vikubwa wakishapita eneo husika yaani kuanzia ngazi ya mkoa wilaya mpaka kata,kinachoendelea huwa ni vituko,utesema uchaguzi umeisha au bado kampeni hazijaanza watu wako na hamsini zao.

Sijua wamesusa au ubize na maisha au haoni matangazo ya picha au hawasikii mwito wa maspika makubwa kuja kusikiliza sera au wagombea wa nafasi hizi wamedharauliwa na wananchi?

Yaan watu hawana habari kufuatilia wagombea wa ubunge na madiwani yaani hata kuwaongelea kwenye vijiwe mbalimbali iwe bar hadi vya Gahawa.

JE NINI KIMEPELEKEA HAYA KUFIKIA WATU HATA KUTOJUA WAGOMBEA WA MAENEO YAO.?
 
Mkuu njaa kali ,Njaaa njaaa

Pesa hakuna ,Pesa hakuna

Yajayo ni magumu zaidi

Wananchi chali bin dhoofu
Wananchi choka mbaya mifukoni

Familia chakali bin dhoofu ndembendembe

Familia nyingi maisha yamekuwa dhoofu ,hawana pesa

Watatabasamu vipi bila pesa mkuu

Ahaa wewe unaenda kwenye kampeni bado

Wewe siku ya kupiga kura piga kura za hasira kuwawajibisha hawa watu na Bwana yule
 
Kichwa cha habari chajieleza...uchaguzi mkuu wa mwaka huu kiukweli nje ya wasanii kujaza watu au watu kuja kushangaa mtu aliyepigwa risasi nyingi kwenye kampeni,ni uchaguzi ambao kampeni zake hazivutii wala kusisimua kabsaaa

Hii imepelekea viongozi wa nafasi za Urais wa hivi vyama viwili vikubwa wakishapita eneo husika yaani kuanzia ngazi ya mkoa wilaya mpaka kata,kinachoendelea huwa ni vituko,utesema uchaguzi umeisha au bado kampeni hazijaanza watu wako na hamsini zao.

Sijua wamesusa au ubize na maisha au haoni matangazo ya picha au hawasikii mwito wa maspika makubwa kuja kusikiliza sera au wagombea wa nafasi hizi wamedharauliwa na wananchi?..
Yaan watu hawana habari kufuatilia wagombea wa ubunge na madiwani yaani hata kuwaongelea kwenye vijiwe mbalimbali iwe bar hadi vya Gahawa.....

JE NINI KIMEPELEKEA HAYA KUFIKIA WATU HATA KUTOJUA WAGOMBEA WA MAENEO YAO.?
Maoni yako,si ya wengine ,umefanyia tafiti kijiwe gani kuthibitisha hili usemalo?
 
JE NINI KIMEPELEKEA HAYA KUFIKIA WATU HATA KUTOJUA WAGOMBEA WA MAENEO YAO.?
sisi wana ccm tunajua wagombea wetu na tukifika kwenye kizimba cha kupiga kura huwa hatubabaiki,kazi kwenu wenye mgombea anaetumia muda mwingi kuomba michango
 
sisi wana ccm tunajua wagombea wetu na tukifika kwenye kizimba cha kupiga kura huwa hatubabaiki,kazi kwenu wenye mgombea anaetumia muda mwingi kuomba michango
Hivi unajua Ccm ndio chama ambacho watu wengi hasa wakina mama na wazee hupigia kura wagombea wao tangu zamani bila hata kumjua mgombea wenyewe hupigia kura CHAMA..?na sababu kuu huamini chama hakikosei kuteua mgombea wao..ndio maana hata wahamiaji haramu hupitia humo humo kwenye udhaifu huu na kupata uraia kirahisi hii ni toka enzi za mkapa...japo kuwa na imani na chama ni jambo zuri na bora ila TAHADHARI KWA CHAMA NI BORA ZAIDI KWA MAISHA YA CHAMA MAANA KILA MGOMBEA NAFASI ZA SIASA HUWA NA MALENGO YAKE PIA BINAFSI
 
Kichwa cha habari chajieleza...uchaguzi mkuu wa mwaka huu kiukweli nje ya wasanii kujaza watu au watu kuja kushangaa mtu aliyepigwa risasi nyingi kwenye kampeni,ni uchaguzi ambao kampeni zake hazivutii wala kusisimua kabsaaa

Hii imepelekea viongozi wa nafasi za Urais wa hivi vyama viwili vikubwa wakishapita eneo husika yaani kuanzia ngazi ya mkoa wilaya mpaka kata,kinachoendelea huwa ni vituko,utesema uchaguzi umeisha au bado kampeni hazijaanza watu wako na hamsini zao.

Sijua wamesusa au ubize na maisha au haoni matangazo ya picha au hawasikii mwito wa maspika makubwa kuja kusikiliza sera au wagombea wa nafasi hizi wamedharauliwa na wananchi?..
Yaan watu hawana habari kufuatilia wagombea wa ubunge na madiwani yaani hata kuwaongelea kwenye vijiwe mbalimbali iwe bar hadi vya Gahawa.....

JE NINI KIMEPELEKEA HAYA KUFIKIA WATU HATA KUTOJUA WAGOMBEA WA MAENEO YAO.?


Sababu ni NEC na ZEC.
 
Nikweli Mkuu mimi mgombea wangu wa udiwani nimemjua majuzi tu ila sema nini kwa serikali ilivyoendeshwa na JPM sikuwa na haja tena ya kumjua nani ni nani. Maana nilishahitimisha siku nyingi ntaemkuta tu kwenye kijani ndo huyo huyo kapita.




MAGUFULI4LIFE.
 
Sasa kama mie huku napoishi namjua mgombea ubunge na udiwani wa ccm na mgombea udiwani wa cuf tu,tena huyu mgombea udiwani wa ccm alikuwa cuf ila ndio kahamia ccm.
 
Sasa kama mie huku napoishi namjua mgombea ubunge na udiwani wa ccm na mgombea udiwani wa cuf tu,tena huyu mgombea udiwani wa ccm alikuwa cuf ila ndio kahamia ccm.
Yaan wabunge madiwani sasa hivi jamii inaanza kuwadharau sasa sijui ni nini kinapelekea hivyo..hii kazi au nafasi hii ya uongozi inapoelekea itakuwa haina tofauti na wauza madawa ya kulevya...yaani unakuwa una hela ila jamii inakudharau na haikuheshimu wakishakujua...
 
Mkuu njaa kali ,Njaaa njaaa

Pesa hakuna ,Pesa hakuna

Yajayo ni magumu zaidi

Wananchi chali bin dhoofu
Wananchi choka mbaya mifukoni

Familia chakali bin dhoofu ndembendembe

Familia nyingi maisha yamekuwa dhoofu ,hawana pesa

Watatabasamu vipi bila pesa mkuu

Ahaa wewe unaenda kwenye kampeni bado

Wewe siku ya kupiga kura piga kura za hasira kuwawajibisha hawa watu na Bwana yule
Hata mgombea wenu anahali hii, mwenye hafadhali ni Mbowe na genge lake. Chagua JPM, Rais Mzalendo wa serikali ya viwanda.
 
Back
Top Bottom