Uchaguzi huu viongozi wanapaswa kutumia akili zaidi kuliko maneno ya kujenga hofu na vitisho!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,828
141,739
Dunia imeshabadilika na mambo yanaenda kwa kasi sana ndio sababu Rais Kagame amemteua kijana wa miaka 19 kuwa waziri wa teknolojia.

Katika dunia ya leo Zitto Kabwe na Dr Kigwangalla siyo vijana tena bali ni wazee na hata Anthony Mavunde, MwanaFA, Prof Jay hawaitwi vijana kule mtaani ila wanaitwa " wababa"

Kizazi kinachopiga kura mwaka huu ni kile kinachomjua Mwalimu Nyerere kupitia somo la Historia hivyo kinaongea lugha tofauti kabisa linapokuja swala la siasa na ujasiri.

Niwaombe tu viongozi wote wa kisiasa na hasa Tundu Lisu, maalim Seif na Dr Mahera mnapoongea jitafakarini kwanza kuwa mnaongea na jamii ya kizazi kingine na mapokeo yao ni tofauti kabisa na kizazi cha akina mzee Mgaya na mchungaji Erasto.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Dr.Mahera anajisahau sana, sehemu ya taarifa yake jana kasema eti baadhi wanasiasa wanaandaa mazingira vurugu kuzusha vituo na wapiga kura hewa " labda wamejua..." pia anasisitiza kwa alama za ccm dole gumba, hizi lugha za Polepole hapaswi refa kuzitumia.Ndio maana tunamhitaji Lissu aboreshe Katiba Watanzania wawe na maamlaka na sio hisani ya Mtawala ilivyo sasa.
 
Dunia imeshabadilika na mambo yanaenda kwa kasi sana ndio sababu Rais Kagame amemteua kijana wa miaka 19 kuwa waziri wa teknolojia.

Katika dunia ya leo Zitto Kabwe na Dr Kigwangalla siyo vijana tena bali ni wazee na hata Anthony Mavunde, MwanaFA Prof Jay hawaitwi vijana kule mtaani ila wanaitwa " wababa"

Kizazi kinachopiga kura mwaka huu ni kile kinachomjua Mwalimu Nyerere kupitia somo la Historia hivyo kinaongea lugha tofauti kabisa linapokuja swala la siasa na ujasiri.

Niwaombe tu viongozi wote wa kisiasa na hasa Tundu Lisu, maalim Seif na Dr Mahera mnapoongea jitafakarini kwanza kuwa mnaongea na jamii ya kizazi kingine na mapokeo yao ni tofauti kabisa na kizazi cha akina mzee Mgaya na mchungaji Erasto.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kuna watu wameinterupt mtandao ukiandika jina Tundu Lissu SMS haiendi
 
Dunia imeshabadilika na mambo yanaenda kwa kasi sana ndio sababu Rais Kagame amemteua kijana wa miaka 19 kuwa waziri wa teknolojia.

Katika dunia ya leo Zitto Kabwe na Dr Kigwangalla siyo vijana tena bali ni wazee na hata Anthony Mavunde, MwanaFA Prof Jay hawaitwi vijana kule mtaani ila wanaitwa " wababa"

Kizazi kinachopiga kura mwaka huu ni kile kinachomjua Mwalimu Nyerere kupitia somo la Historia hivyo kinaongea lugha tofauti kabisa linapokuja swala la siasa na ujasiri.

Niwaombe tu viongozi wote wa kisiasa na hasa Tundu Lisu, maalim Seif na Dr Mahera mnapoongea jitafakarini kwanza kuwa mnaongea na jamii ya kizazi kingine na mapokeo yao ni tofauti kabisa na kizazi cha akina mzee Mgaya na mchungaji Erasto.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Mwenye lugha zisizo na mantiki ni Jiwe. Na TBC si mali ya baba yake. Aache kukihodhi.
 
Juzi nimeongea na watu wawili watatu, wote hawamjui Salim Ahmed Salim ni nani.

Nadhani CHADEMA siku zote wameweza kuconnect na rika la vijana. Hata hao kina Sugu na Profesa Jay wanaheshimika sana kisiasa na hawajapoteza relevance kwa rika hilo ingawa hawatoi tena ngoma mara kwa mara.
 
Niwaombe tu viongozi wote wa kisiasa na hasa Tundu Lisu, maalim Seif na Dr Mahera mnapoongea jitafakarini kwanza kuwa mnaongea na jamii ya kizazi kingine na mapokeo yao ni tofauti kabisa na kizazi cha akina mzee Mgaya na mchungaji Erasto.
Ulianza vizuri lakini hapa umekuwa mbaguzi, hukutenda haki-kuna mama kaongelea risasi 3 tu unafikiria alimaanisha nini? Kuna baba kila siku kutisha wapiga kura-msiponiletea fulani basi maendeleo mtayasikia kwenye bomba, anagawa rushwa mchana kweupe, etc. Kwa nini hawa (Samia na John) umewaacha kwenye tahadhari yako?
 
Dunia imeshabadilika na mambo yanaenda kwa kasi sana ndio sababu Rais Kagame amemteua kijana wa miaka 19 kuwa waziri wa teknolojia.

Katika dunia ya leo Zitto Kabwe na Dr Kigwangalla siyo vijana tena bali ni wazee na hata Anthony Mavunde, MwanaFA, Prof Jay hawaitwi vijana kule mtaani ila wanaitwa " wababa"

Kizazi kinachopiga kura mwaka huu ni kile kinachomjua Mwalimu Nyerere kupitia somo la Historia hivyo kinaongea lugha tofauti kabisa linapokuja swala la siasa na ujasiri.

Niwaombe tu viongozi wote wa kisiasa na hasa Tundu Lisu, maalim Seif na Dr Mahera mnapoongea jitafakarini kwanza kuwa mnaongea na jamii ya kizazi kingine na mapokeo yao ni tofauti kabisa na kizazi cha akina mzee Mgaya na mchungaji Erasto.

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa mantiki hii Magufuli ni kibabu kikongwe
 
Back
Top Bottom