TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,194
Habari zisizo na chembe ya kutaka umma usielewe kinachoendelea ipo wazi kutokana na safari ya uchaguzi wa nafasi ya urais kupitia kampeni tunazoziona wakati huu.
Mwaka 2015 ilichezwa mechi (uchaguzi) ambayo ilikuwa na marefarii watatu moto wakiwa wamekaa katikati wakiunganisha krosi zinazokuja kutoka kwa mawakala kwenda nec, wana ccm wangi wanafanya kampeni kwa kulazimisha nafsi zao ila siyo kutoka moyoni, maana wanajua usipojitoa kwa chama b'na mkubwa anakushugulikia ipasavyo.
Wadau wa siasa wanakumbuka week iliyopita kulikaa kikao cha kutathimini na kuwataka viongozi wastaafu wajiunge ili kuokoa jahazi linaloelekea kuingiza maji na kuzama.
Kuna mzee Kinana, Makamba Jr na Nape kijana wa bao la mkono hawa jamaa hatuji kwa sasa wako wapi ila kutokana na njia waliyoipitia awamu hii sidhani kama wanaweza kutandika red carpet na kuruhusu gip akanyage hilo zulia.
Kinachoendelea kwa sasa ni kukaa kimya wakijionyesha kutenda kazi yao waliotumwa na mkulu huku kila mmoja akielewa huyu mzee hakuna kitu hapo, huyu anatuzuga na akirudi tabia yake ni ile ile, kama anawatukana wananchi katika kipindi hiki cha kampeni itakuwaje kwa sisi ambao tulishatendwa?.
Hakika maji yako shingoni, katika uchaguzi uliowahi kufanyika hapa nchini basi huu ndiyo unatoa taswira ya ccm kuwa moja au hakuna ummoja.
Mwaka 2015 ilichezwa mechi (uchaguzi) ambayo ilikuwa na marefarii watatu moto wakiwa wamekaa katikati wakiunganisha krosi zinazokuja kutoka kwa mawakala kwenda nec, wana ccm wangi wanafanya kampeni kwa kulazimisha nafsi zao ila siyo kutoka moyoni, maana wanajua usipojitoa kwa chama b'na mkubwa anakushugulikia ipasavyo.
Wadau wa siasa wanakumbuka week iliyopita kulikaa kikao cha kutathimini na kuwataka viongozi wastaafu wajiunge ili kuokoa jahazi linaloelekea kuingiza maji na kuzama.
Kuna mzee Kinana, Makamba Jr na Nape kijana wa bao la mkono hawa jamaa hatuji kwa sasa wako wapi ila kutokana na njia waliyoipitia awamu hii sidhani kama wanaweza kutandika red carpet na kuruhusu gip akanyage hilo zulia.
Kinachoendelea kwa sasa ni kukaa kimya wakijionyesha kutenda kazi yao waliotumwa na mkulu huku kila mmoja akielewa huyu mzee hakuna kitu hapo, huyu anatuzuga na akirudi tabia yake ni ile ile, kama anawatukana wananchi katika kipindi hiki cha kampeni itakuwaje kwa sisi ambao tulishatendwa?.
Hakika maji yako shingoni, katika uchaguzi uliowahi kufanyika hapa nchini basi huu ndiyo unatoa taswira ya ccm kuwa moja au hakuna ummoja.