ng'ombo
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 418
- 619
Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Ghana (New Patriotic Party) Bwana Nana Akufo-Ado pichani juu ameshinda uchauguzi mkuu wa urais uliokuwa na upinzani mkali uliofanyika jumatano. Rais wa Ghana John Mahama amekubali kushindwa.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa upinzani kuongoza nchi toka mfumo wa vyama vingi uanze nchini Ghana 1992. Msemji wa chama cha upinzani amesema Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi amemtangaza Bwana Akufo-Addo ameshinda kwa 53.85% wakati Bwana Mahama amepata 44.40%