EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Nafikiri njia kubwa kama alivyoshauri Mkumbo ni kwenda kuweka court injunction EACJ-Arusha na muda mlionao ni leo tu.Nderingosha,
Hivyo, maelezo niliyotoa sasa ni ya mwisho; iwapo hatua stahiki hazitachukuliwa tutawajulisha tutatumia njia gani kubwa zaidi ya kudai haki husika.
JJ