Ukitaka kujua uhalisia wa kisa cha wimbo mmoja wa mwanamuziki wa taarabu nchini wenye moja ya beti maarufu isemayo "viumbe wagumu" basi watazame Chadema.
CCM iko Dodoma inatimiza demokrasia makini ya ndani ya Chama Chadema wapo tu vijana wao wanakesha mitandaoni kujadili ya Babu Seya.
Wiki ijayo CCM inakwenda kumpata Mwenyekiti wa Tatu katika kipindi cha miaka ya karibuni Chadema ina yule yule "Mzee wa KIA" halafu kuna watu wapo tu Chadema wanaimba demokrasia.
Hata vijana wa CCM leo wameonesha mfano wa demokrasia ya ushindani kule Chadema yule jamaa mwenye "expansion valve" hajui hata kapataje uenyekiti wa Bavicha anakenuakenua tu♂♂
Hii inatosha kuonesha hawa jamaa ni viumbe wagumu kweli kweli.
CCM iko Dodoma inatimiza demokrasia makini ya ndani ya Chama Chadema wapo tu vijana wao wanakesha mitandaoni kujadili ya Babu Seya.
Wiki ijayo CCM inakwenda kumpata Mwenyekiti wa Tatu katika kipindi cha miaka ya karibuni Chadema ina yule yule "Mzee wa KIA" halafu kuna watu wapo tu Chadema wanaimba demokrasia.
Hata vijana wa CCM leo wameonesha mfano wa demokrasia ya ushindani kule Chadema yule jamaa mwenye "expansion valve" hajui hata kapataje uenyekiti wa Bavicha anakenuakenua tu♂♂
Hii inatosha kuonesha hawa jamaa ni viumbe wagumu kweli kweli.