Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni kuelekea uchaguzi

Hebu tueleweshane kidogo,

gharama hasa ni za mafuta na matangazo? kukodi helicopter? posho za wajumbe na wapiga debe? au kuhonga wapiga kura!!!!?????????
 
Hebu tueleweshane kidogo,

gharama hasa ni za mafuta na matangazo? kukodi helicopter? posho za wajumbe na wapiga debe? au kuhonga wapiga kura!!!!?????????

Gharama ni gharama tu! Ila wakionga wapiga kura na gharama nyingine zisizo rasmi, watazionesha kama 'gharama nyinginezo' (misc. exp).
 
Gharama sio tatizo kwa upande wangu, tatizo ni namna gani gharama hizi zimetumiwa na wahusika na vyanzo vya gharama hizi ni vipi.. Gharama zikitumika kununulia shahada za wapiga kura masikini wasio na elimu na wasiojua umuhimu wa kupiga kura hilo kwangu dilo tatizo au kutumia fedha za umma kama njia ya kupata fedha za kampeni.

Kuna tatizo gani mtu ukitumia ruzuku ya chama na vyanzo vingine HALALI kugharimia kampeni?
 
Thank you for the remark,as usual inaweza kuwa 'pyrrhic victory' maana si ajabu ukijumlisha gharama zote zilizotumiwa na vyama vyote inaweza kuwa kubwa kuliko kiasi cha pesa zitakazo-fund maendeleo katika kipindi ambacho mbunge atakuwa kwenye kiti chake maana very soon watarudi kwenye league!
 
Gharama za kampeni sio tatizo kwa mtizamo wangu. Kikubwa tu ni kwamba gharama hizi zimetumika vipi? Gharama hizi kwa upande wangu hata kama ni 50,000/= zikitumia kunnunulia shahada ( kama akina MWANTUMU HAHIZA) za kupigia kura za masikini na wasiojua umuhimu wa kura zako sababu ya kukosa elimu ni tatizo. lakini gharama zikitumika vizuri na vyanzo vyake ni halali kwa mujibu wa sheria, sio EPA na KAGODA, hakuna tatizo, huu ni mtizamo wangu
 
Ndugu wan jf hii ni wazi garama za uchaguzi hazikwepeki kwani wapiga kampeni wote ilibidi wasafiri na kulala na kula na kuambatana na misafara kila cku.Si hilo tu bali hata kuhamasisha wakereketwa ,HII NDO HALI YA SIASA tA NZA NIA. Lazima tujue kuwa mwakani kama walivyosema hali itakuwa mbaya zaidi ukizingatia kuwa mishahara ya wabunge inapanda na bajeti ni finyu kisa economic crisis. Jamani mwenya akiba aitumie vizuri maana mwaka ujao wa fedha hali c nzuri saana .Kumbuka tuna na wahanga ndugu zetu wa mabomu,Nahisi hapa na kodi za vitu mabalimbali zitapanda. Hii ndo hali halisi tufanye nini jamani!!
Mungu ibariki Tanzania.
 
Tanzania hata kama pesa ni chafu ili mradi inakupa ulaji si shida kwa viongozi wetu. Mjomba alipokuwa anahutubia bunge kwa mara ya kwanza aligusia kuwa atashughulikia maswala ya jinsi chaguzi zinavyokuwa financed huku akijua yeye kawa financed kwa pesa chafu ya wizi na baada ya hapo si ajabu RA alimpiga stop. Kwani umeshasikia hoja hii tena?
 
Tanzania hata kama pesa ni chafu ili mradi inakupa ulaji si shida kwa viongozi wetu. Mjomba alipokuwa anahutubia bunge kwa mara ya kwanza aligusia kuwa atashughulikia maswala ya jinsi chaguzi zinavyokuwa financed huku akijua yeye kawa financed kwa pesa chafu ya wizi na baada ya hapo si ajabu RA alimpiga stop. Kwani umeshasikia hoja hii tena?

Hii ndo sababu yenye kwa nini tunahitaji kuweka expenditure cap katika uchaguzi. Na kwa watu wanaouliza gharama ni nini? Hapa inategemea na sheria ya nchi. vitu kama malazi na usafiri havijumuishwi katika gharama. Gharama inakuwa vitu kama advertisements za aina yeyote, gharama za mikutano, nk. Hela inayotumika katika kampeni lazima itakuja kulipwa kwa namna moja au nyingine. Kwa mfano, Mafisadi wanapochangia kampeni, wanategemea ukishinda uwape favours flani flani. Kumbe, nothing is for free in this world. Kwa hiyo ni muhimu kuweka limit ya kiwango tunachokuja kulipa badae sisi wananchi wenyewe kwa namna moja au nyingine.
 
Kakalende, nakupongeza kwa kuorodhesha gharama za kampeni Busanda. Niongeze pia kwamba kulikuwa na gharama za kununua shahada za wapiga kura walioonekana labda wangepinga ccm. Kama kweli Busanda wapiga kura waliojiandikisha ni takriban 135,000 lakini waliojitokeza kupiga kura ni takriban 53,000, unaweza kuona pesa za EPA zimefanya kazi!
Nakubaliana na pendekezo kwamba vyama vya siasa vilivyoshiriki vieleze kila kasma ya matumizi, na umma uelezwe pia vyanzo vya mapato yao.

kilasara
 
Jukwaani amepanda meneja kampeni wa Chadema, anaitwa Shelembi, jamaa ni noma!. Anapiga kampeni kwa Lugha ya Kisukuma, uwanja mzima unashangilia.
Miongoni mwa anayoyazungumza ni kuwaconvince wanaBusanda
Kutofanya makosa tena kwa kuichagua CCM baada ya miaka 48 ya utumwa wa CCM, Busanda..

Kusema ukweli, matamshi ya huyu jamaa na Kisukuma cha ndani haswa kile cha Chapa Ng'ombe, inaleta burudani fulani kusikia
Yaani hata jamaa angetoa single, ingehit hata kwa wasiojua Kisukuma.
Sikumbuki ni lini Mwl. Nyerere alihutubia taifa kwenye jukwaa na mbele ya kamera kwa kuchanganya na Kizanaki, na wala sijawahi kumsikia Mzee Mwinyi wala Mkapa wakifanya hivyo wala watu wao. WAliamini kuwa kwa kufanya hivyo ni kutamani siasa za ukabila na kufukua hisia za kikabila nchini.

Nimewahi kumuona Mh. Shibuda juzijuzi akiongea Kisukuma kitupu wakati alipopewa nafasi ya kusalimia kwenye mkutano ambao ulikuwa wa public ambao pia ulikuwa unafuatiliwa na hata watu wasiofahamu lugha ya Kisukuma na bila kupewa onyo.

Wasiwasi wangu ni watu kuutamani mtaji wa kikabila ambao Nyerere alisema ni dalili za mtu kufilisika kisiasa.

Hebu turudini kwenye mstari aliouacha baba wa taifa.
Mambo ya kuongea kilugha hayakuanza leo, wala hayakuanzishwa na Shibuda!.
P
 
Niko mkutano wa CCM, nikianzia umati wa watu, ukilinganisha na Chadema, sio siri CCM cha Mtoto!.
Kama watu niliowana mkutano wa Chadema ni wapiga kura kweli, basi kwa mara ya kwanza nakiri kuwa CCM itapigwa chini mjini Busanda. Vijijini, sijajua.

Hakuna Ob yoyote ya TBC, hivyo hakuna live TBC-1 labda TBC-Taifa mlioko huko sikilizeni.

Kampeni za Mwisho za CCM mdororo!.
Tambwe Hiza kachemsha eti Rais Bush kamwalika Jk!.
Waziri Masha kagoma kupanda Jukwwaani.

Mgombea wa CCM Mama Bukwimba hana uwezo wa kujieleza.
Kama wanaBusanda wanachagua mtu na sio chama, basi Mbunge ni Magesa. Lakini kwa vile wanachagua vyama, hata mgombea wa chama awe bomu vipi, chama kitambeba.

Mhe. Magufuli amepanda jukwaani anamwaga kikabila Kisukuma mwanzo mwisho kujibu mapigo ya Shelembi. Magufuli anashangiliwa sana, sasa anamwaga sumu kali dhidi ya Chadema kwa lugha ya Kisukuma.
Anamnadi vizuri mkombea wa CCM.

Leo sijaona wazomeaji.

Kwa vile campain hizi za CCM zinaboa, sitadumu hapa kwa muda mrefu, nitaelekea kampeni za CUF na kumalizia na kampeni za UDP.
Jukwaani amepanda meneja kampeni wa Chadema, anaitwa Shelembi, jamaa ni noma!. Anapiga kampeni kwa Lugha ya Kisukuma, uwanja mzima unashangilia.
Miongoni mwa anayoyazungumza ni kuwaconvince wanaBusanda
Kutofanya makosa tena kwa kuichagua CCM baada ya miaka 48 ya utumwa wa CCM, Busanda..

Kusema ukweli, matamshi ya huyu jamaa na Kisukuma cha ndani haswa kile cha Chapa Ng'ombe, inaleta burudani fulani kusikia
Yaani hata jamaa angetoa single, ingehit hata kwa wasiojua Kisukuma.
Sikumbuki ni lini Mwl. Nyerere alihutubia taifa kwenye jukwaa na mbele ya kamera kwa kuchanganya na Kizanaki, na wala sijawahi kumsikia Mzee Mwinyi wala Mkapa wakifanya hivyo wala watu wao. WAliamini kuwa kwa kufanya hivyo ni kutamani siasa za ukabila na kufukua hisia za kikabila nchini.

Nimewahi kumuona Mh. Shibuda juzijuzi akiongea Kisukuma kitupu wakati alipopewa nafasi ya kusalimia kwenye mkutano ambao ulikuwa wa public ambao pia ulikuwa unafuatiliwa na hata watu wasiofahamu lugha ya Kisukuma na bila kupewa onyo.

Wasiwasi wangu ni watu kuutamani mtaji wa kikabila ambao Nyerere alisema ni dalili za mtu kufilisika kisiasa.

Hebu turudini kwenye mstari aliouacha baba wa taifa.
Mambo ya kuongea kilugha hayakuanza leo, wala hayakuanzishwa na Shibuda!.
P
 
Niko mkutano wa CCM, nikianzia umati wa watu, ukilinganisha na Chadema, sio siri CCM cha Mtoto!.
Kama watu niliowana mkutano wa Chadema ni wapiga kura kweli, basi kwa mara ya kwanza nakiri kuwa CCM itapigwa chini mjini Busanda. Vijijini, sijajua.

Hakuna Ob yoyote ya TBC, hivyo hakuna live TBC-1 labda TBC-Taifa mlioko huko sikilizeni.

Kampeni za Mwisho za CCM mdororo!.
Tambwe Hiza kachemsha eti Rais Bush kamwalika Jk!.
Waziri Masha kagoma kupanda Jukwwaani.

Mgombea wa CCM Mama Bukwimba hana uwezo wa kujieleza.
Kama wanaBusanda wanachagua mtu na sio chama, basi Mbunge ni Magesa. Lakini kwa vile wanachagua vyama, hata mgombea wa chama awe bomu vipi, chama kitambeba.

Mhe. Magufuli amepanda jukwaani anamwaga kikabila Kisukuma mwanzo mwisho kujibu mapigo ya Shelembi. Magufuli anashangiliwa sana, sasa anamwaga sumu kali dhidi ya Chadema kwa lugha ya Kisukuma.
Anamnadi vizuri mkombea wa CCM.

Leo sijaona wazomeaji.

Kwa vile campain hizi za CCM zinaboa, sitadumu hapa kwa muda mrefu, nitaelekea kampeni za CUF na kumalizia na kampeni za UDP.
Nimesikia mahali Mchungaji Gwajima amehojiwa kwa kuhamasusha ukabila. Sheria yetu ya uchaguzi inakataza kabisa watu kuhutubia kwa kilugha katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, hicho nilichoeleza hapo ni kitu ambacho nimekishuhudia kikifanyika, maofisa wa NEC wakiwepo, OCD na polisi wake wakiwepo, and nothing was done about this na kuna watu wanadhani baadhi ya watu kuhutubia kwa lugha za Kisukuma wameanza leo. Hili ni bandiko la mwezi May, 2009, miaka 11 iliyopita!. Sasa leo Gwajima anapoyasisitiza haya kosa lake ni lipi?.
P
 
Jukwaani amepanda meneja kampeni wa Chadema, anaitwa Shelembi, jamaa ni noma!. Anapiga kampeni kwa Lugha ya Kisukuma, uwanja mzima unashangilia.
Miongoni mwa anayoyazungumza ni kuwaconvince wanaBusanda
Kutofanya makosa tena kwa kuichagua CCM baada ya miaka 48 ya utumwa wa CCM, Busanda..

Kusema ukweli, matamshi ya huyu jamaa na Kisukuma cha ndani haswa kile cha Chapa Ng'ombe, inaleta burudani fulani kusikia
Yaani hata jamaa angetoa single, ingehit hata kwa wasiojua Kisukuma.
Kuhutubia kwa lugha za Kusukuma kule Usukumani ni kwa vyama vyote, hapa ni kampeni ya Chadema, Busanda.
P
 
Back
Top Bottom