Elisha Sarikiel
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 889
- 1,515
- Thread starter
- #101
Mheshimiwa Bahati Chumu Haji amechaguliwa kuwa naibu katibu mkuu BAWACHA (Zanzibar) ambaye alikuwa mgombea pekee kwa kupata kura 60 za ndiyo na tano za hapana.Matokeo ya uchaguzi nafasi ya Naibu Katibu Bawacha Taifa (Bara):-
1. EMA Theobald Boki - kura 15 2. Brenda Jonas - kura 17 3. Nuru Ndosi - kura 36
Huyu ni miongoni mwa safu mpya waliochanguliwa kuongoza Bawacha taifa kama unavyowaona pichani !