Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Chadema ya kweli ilikuwa ile ya Dr Slaa hii ya Mbowe imefeli pakubwa tu mosi aliwakaribisha Lowassa na Membe bila ya kuwafanyia vetting na sasa asubiri Nyalandu kutimka !
Mbele ya maridhiano hana kazi ngumu.Pambalu ajue ana jukumu zitto la kukisimamia chama katika wakati mgumu na mzuri.Asije akasaliti maana dhambi hiyo itamhizunisha milele.
MwanzaWakati gani mgumu?
sio moshiWe nyau anatoka MWANZA na ni Diwani Kata ya butimba unasemaje
Vijana Bavicha mko.vizuri kuliko.li chadema lenyewe.Bavicha mna sura ya kitaifa.Mwenyekiti katoka Tanzania Bara na makamu katoka Zanzibar.
Lichama lenyewe linazidwa akili na vitoto vya Bavicha sababu chadema wagombea uenyekiti wanatoka Tanzania Bara na Makamu mwenyekiti Ni Tundu Lisu toka Tanzania Bara hopeless kabisa.
Lichama pumbafu linazidwa akili na vitoto vya Bavicha
Hongereni na pongezi kwenu viongozi wote wa Bavicha mlioshinda
Tunaweka kumbukumbu kama tulivyoweka kwa bwana Patrobas KatambiHuyu ni kiongozi mwenye mvuto hasa , ni Jabali la kisiasa la uhakika !
View attachment 1288122
Ni mpare au mchaga ,tuanzie hapoBinti Newton kapata kura ngapi asee!?
Huwezi kuwakamata watu kwa propaganda ya kijinga hivyo.Katafute nyingine Mkuu,hii imebuma!.Chadema bhana ni ya wachaga na wakurya,wasukuma wanachukuliwa kama bosheni kutafuta popularity,kulijua hili inahitaji uwaze nje ya box
Sent using Jamii Forums mobile app
Advance ndio kozi gani mkuu?!Mwanza kasoma pamba sekondary advance kasoma ihungo sec bukoba
Binafsi namfahamu tangu akiwa mtoto ni kijana mcha Mungu anayeipenda siasa tangu akiwa mtoto