UCHAGUZI BAVICHA: John Pambalu aibuka kidedea Uenyekiti. Nusrat Shaaban Hanje ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

Porojo za Lumumba wakati wa kusubiri muamala wa bk7
Chadema ya kweli ilikuwa ile ya Dr Slaa hii ya Mbowe imefeli pakubwa tu mosi aliwakaribisha Lowassa na Membe bila ya kuwafanyia vetting na sasa asubiri Nyalandu kutimka !
 
Wivu utakuua.

Umeshindwa kusema kuwa CHADEMA kuna demokrasia ya kweli kuliko huko kijani ambako viongozi wengi wanatoka mifukoni mwa watawala.

Wengine wanapatikana kwa hongo ya ngono.
Vijana Bavicha mko.vizuri kuliko.li chadema lenyewe.Bavicha mna sura ya kitaifa.Mwenyekiti katoka Tanzania Bara na makamu katoka Zanzibar.

Lichama lenyewe linazidwa akili na vitoto vya Bavicha sababu chadema wagombea uenyekiti wanatoka Tanzania Bara na Makamu mwenyekiti Ni Tundu Lisu toka Tanzania Bara hopeless kabisa.

Lichama pumbafu linazidwa akili na vitoto vya Bavicha

Hongereni na pongezi kwenu viongozi wote wa Bavicha mlioshinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza kasoma pamba sekondary advance kasoma ihungo sec bukoba
Binafsi namfahamu tangu akiwa mtoto ni kijana mcha Mungu anayeipenda siasa tangu akiwa mtoto
Advance ndio kozi gani mkuu?!
 
Back
Top Bottom