Anatoka mko gani?
Mdude mmojawaoKuna watu wanateseka
Msukuma huyo .Majina ya John Yana bahati kwenye uongozi usukumani John MagufuliHongera kamanda John Pambalu
Lowasa kabla kupewa ugombea uraisi chadema Alishawahi kuwa mwanachama wa Chadema?Huyu aliwahi kuwa Bavicha?
Mdude na Mbowe watatawatoa roho aiseeee! Sio kwa kuwapenda hivyoMdude mmojawao
Ulitaka atoke hai Kilimanjaro ndio ufurahi?We nyau anatoka MWANZA na ni Diwani Kata ya butimba unasemaje
Siyo kuwa Bavicha tu bali alikuwa kiongozi wa ngazi ya juu , alijiuza mapema sana , ni miongoni mwa waasisi wa Usaliti , kiongozi wao ni Dr KabourHuyu aliwahi kuwa Bavicha?
Cha ajabu Nini Halima Mdee msichana mdogo Hana mume Wala mtoto lakini ndie mwenyekiti wa wanawake wa Chadema Taifa.He is 45.
Mdude elimu Hana na hela hanahana lolote bavicha ndio imeshakufa bora angechaguliwa mdude
Nilishamshauri sana huyu binti ,ubishi tuMwanadada Hilda Newton asiposhinda nae leo basi namshauri ahamie rasmi CCM.
Nilishamshauri sana huyu binti ,ubishi tu
Sina hakika kama ana mtoto au hana, lakini mume anaye.Cha ajabu Nini Halima Mdee msichana mdogo Hana mume Wala mtoto lakini ndie mwenyekiti wa wanawake wa Chadema Taifa.
Chadema hata mtoto mchanga aweza chaguliwa mwenyekiti wa Baraza la wazee wa chadema