We nyau anatoka MWANZA na ni Diwani Kata ya butimba unasemajeAnatoka mko gani?
Mwanza kasoma pamba sekondary advance kasoma ihungo sec bukoba
Binafsi namfahamu tangu akiwa mtoto ni kijana mcha Mungu anayeipenda siasa tangu akiwa mtoto
Tunakukumbusha tu kwamba U-CCM, U-CHADEMA, U-CUF, U-ACT ukiisha kunabaki mambo mawili! WATAWALA na WATAWALIWA- Chagua upande wako mapema!
Tanzania. Unauliza kama mkenya.Anatoka mko gani?
Wewe ulitimuliwa Bavicha mithili ya nyau aliyekunywa maziwa ya mtoto kwa usalitiIlibidi ashinde tu maana Mwenyekiti alirudi usiku toka mwanza ''kuhesabu'' kura.
Anatoka mko gani?
Mwenyekiti alikuwa anahesabu Kura za nani huko Mwanza?Ilibidi ashinde tu maana Mwenyekiti alirudi usiku toka mwanza ''kuhesabu'' kura.
Kitambi njaa na usaliti vilimbanaHata katambi mlimpamba sana ,mwisho wa siku akawapa mkono wa kwaheri
Tunaomba wasifu wa Mwenyekiti wa BAVICHA kama huto jali
Hapana sio kwamba anapambwa mimi namfahamu vizuri tangu utotoni akiwa mwanafunzi ni kijana anayeipenda sana dini yake ya ukatoliki na siasa kwake iko damuni habahatishi
Mwenyekiti alikuwa anahesabu Kura za nani huko Mwanza?Ilibidi ashinde tu maana Mwenyekiti alirudi usiku toka mwanza ''kuhesabu'' kura.
Hapana sio kwamba ana jazba sema akianza kuongea huwa sauti inaongezeka kadri anavyoendeleaNamfahamu huyo dogo kupitia Star TV, Ni mkakamavu, mjenga hoja n
Mzuri japo ana jazba za haraka na ni mrahisi kutoka kwenye njia akipandwa na jazba. Kitu ambacho sina shaka naye ni mapenzi yake mazito kwa cdm. Nadhani ni ngumu kuhongwa kwenda kuunga juhudi, maana sasa hivi hiyo ndio fashion.
He is 45.Mwenyekiti anayemaliza muda wake hakugombea?
Hapana sio kwamba ana jazba sema akianza kuongea huwa sauti inaongezeka kadri anavyoendelea
Unamuwekea dhamana mwanasiasa?Hapana sio kwamba anapambwa mimi namfahamu vizuri tangu utotoni akiwa mwanafunzi ni kijana anayeipenda sana dini yake ya ukatoliki na siasa kwake iko damuni habahatishi
Yaleyale ya mwenyekiti wako na ukabila pamoja na ukanda! Ulitaka atoke mkoa gani zaidi ya Tanzania? Hizo akili za ukabila zitakumung'unya na kukuvyonza ubongo! Badilika.Anatoka mko gani?
Huyu aliwahi kuwa Bavicha?Wewe ulitimuliwa Bavicha mithili ya nyau aliyekunywa maziwa ya mtoto kwa usaliti
Mkuu John Pambalu ni Mh. Diwani wa Kata ya Butimba hapa Jijini Mwanza.Anatoka mko gani?
Karai Katambi.Pambalu akapambane sasa asiwe kama Katambi