ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,555
- 3,749
Weka akilini kwako wewe na wenzako wote.WWa
Watanzania nawajua vizuri saaaana! Ni wale watazajana kwenye mikutano ya CHADEMA kusikiliza comedy za akina Mbowe na Lissu Ila siku ya uchaguzi kura wanaipigia CCM!
Nyie mnabaki na nyimbo za nyomi! nyomi! ila kwenye ballot box hakuna kura!
Mimi sio CCM or Chadema, ni MTANZANIA.
Sisi ni Watanzania. Tunataka maisha, kipato kizuri, watoto wasome, tulipe bills zetu, maslahi yetu yalindwe. Tunataka ustawi wa Tanzania, serikali na watu wake wote.
Nchi isiuzwe, kubinafsishwa kwa familia yako na walio karibu yako. Wahuni wachache.