Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: "Zitto kufikia viwango vya njaa ya Mbowe kwenye medani za siasa"?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Zitto sasa anaonekana ni mwanasiasa anayesikiliza tumbo lake na sio wafuasi wake wala falsafa alizowahi kuaminisha kuwa yeye ni muumini wa "siasa za kijamaa".

"Ajizi nyumba ya njaa" sio Zitto wala Mbowe anayeweza kumkataa Membe kuwa mgombea wa Chama chake eti kisa "itikadi" au "wafuasi hawafurahii"

Kwa taarifa za uhakika wote Chadema na ACT wanakimbizana kuhakikisha wanatekeleza masharti ya Benard Membe na wameshaonywa kuwa atakayewahi ndiye "atalamba dume"

Nimalize tu kwa kusema "kiwango cha njaa cha Zitto kwenye medani za siasa kulingana na cha Mbowe muda wowote kuanzia sasa.
 
Membe na wenzake sita lazima wamchomoe jiwe hapo ikulu kwa namna yoyote ile, hata kwa kutumia ACT au chadema
 
Kachero mbobezi na wenzake sita akina kikwete, nkapa, na wakamati kuu 4 wazito ambao ni mapandikizi ya membe yamejiapiza hayatamwacha jiwe salama
 
pole sana, mleta uzi membe anakuumiza sana, act na chadema ni vyama vya watanzania na membe ni mtanzania, achaga kuhangaika
 
Ndugu zangu,

Zitto sasa anaonekana ni mwanasiasa anayesikiliza tumbo lake na sio wafuasi wake wala falsafa alizowahi kuaminisha kuwa yeye ni muumini wa "siasa za kijamaa".

"Ajizi nyumba ya njaa" sio Zitto wala Mbowe anayeweza kumkataa Membe kuwa mgombea wa Chama chake eti kisa "itikadi" au "wafuasi hawafurahii"

Kwa taarifa za uhakika wote Chadema na ACT wanakimbizana kuhakikisha wanatekeleza masharti ya Benard Membe na wameshaonywa kuwa atakayewahi ndiye "atalamba dume"

Nimalize tu kwa kusema "kiwango cha njaa cha Zitto kwenye medani za siasa kulingana na cha Mbowe muda wowote kuanzia sasa.
Kama Kuna kipindi ambacho CCM ilipata upinzani mkubwa basi ilikuwa 2015 wakati wa upepo wa Lowassa, na kama UKAWA ulishindwa wakati ule wasitegemee muujiza wowote 2020.

Katika kipindi hiki Cha 2020 sioni na hakuna mtu yeyote kutoka upinzani mwenye ushawishi wa kuliongoza Taifa hili la Tanzania zaidi ya JPM himself. Suala hili hata mabeberu yametambua na yameanza kuwa matulivu na kumpongeza JPM baada ya kuona namna jamaa anavyo_ deliver.

Majitu ya upinzani hayana mtu yeyote wa maana na "Potential" wa kuweza kumlinganisha na JPM, hili si tu kwamba linafahamika Afrika, Bali Dunia nzima. Sasa Ni vema Kama wameamua kushiriki uchaguzi Mkuu wasiandae vurugu pale watakapoona wameshindwa kwa sababu hawana watu wenye ushawishi kwa Watanzania na huo ndio ukweli hakuna namna.
 
Back
Top Bottom