Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: Tuambiane Ukweli tu, Tundu Lissu na Maalim Seif hakuna atakayekuwa Rais

Kama akina Kabila, Nkurunziza, Tshisekedi, wamekuwa Marais, sioni kwa nini Lissu hawezi kuwa Rais....!! Amewazidi mara 100.
 
Wanachama wa cdm waende angalau kwa viongozi wao wachache wenye akili na kujitambua. Mfano mh Mnyika wawaulize ushauri maana angalau wanaelewa kuhusu mila na desturi za siasa za Tanzania. Yuko kimya anajua ukweli wa hatima ya huyu mgombea wao ni kushindwa tu.
 
mMIMI NATAMBUA BILA SHAKA KABISA. LISU NA SHARRIF HAWATAWAH KUWA MARAIS TZ.


Weka akiba ya maneno, kwa kuwa hakuna mwenye kuweza kutambua mambo yatakayomtokea ktk siku ya kesho yake achilia mbali hata dakika moja iliyopo mbele yake. Kwa kuwa sisi sote ni wanadamu, Mola wetu ndiye mwenye kutambua nani ambao watakuwa viongozi wa Taifa letu. Na mapenzi yake yapate kutimizwa.
 
Sisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu

Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.

Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.

Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.

Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.

Lakin watashinda
 
Dawa ya leo ya Mwanza, Bunda na Musoma tu imekufanya upanic hivyo????

Tulieni dawa ziwaingie vizuri, mlishazoea kuweka mamluki kupambana na Ccm eeh??? Sasa Safari hii ni baasi!! Chuma kisicho hata na chembe ya umamluki kinapambana na nyie. Jiandaeni tu kukabidhi nchi na kama hamtaki mtaikabidhi kwa nguvu ya umma mwaka huu.
Atakuambia wale wote ni wapiga dili ccm wanaishi kwa propaganda za mwaka 38
 
Sisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu

Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.

Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.

Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.

Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.
Na huo ndio ukweli mchungu kwa mashabiki wao. Umeongea ukweli mtupu ndugu yangu.
 
Sisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu

Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.

Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.

Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.

Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.
Utakua mpiga dili
 
Back
Top Bottom