The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,388
- 12,971
Kama akina Kabila, Nkurunziza, Tshisekedi, wamekuwa Marais, sioni kwa nini Lissu hawezi kuwa Rais....!! Amewazidi mara 100.
Weka akiba ya maneno, kwa kuwa hakuna mwenye kuweza kutambua mambo yatakayomtokea ktk siku ya kesho yake achilia mbali hata dakika moja iliyopo mbele yake. Kwa kuwa sisi sote ni wanadamu, Mola wetu ndiye mwenye kutambua nani ambao watakuwa viongozi wa Taifa letu. Na mapenzi yake yapate kutimizwa.
Kura yangu nampa Lissu!Sidhani kama kuna m mtu yupo tayari kuharibu kura yake kwa lisu,
Aliharibu chama cha mawakili tanganyika asipewe nafasi ya kuharibu nchi yetu.
Sisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu
Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.
Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.
Atakuambia wale wote ni wapiga dili ccm wanaishi kwa propaganda za mwaka 38Dawa ya leo ya Mwanza, Bunda na Musoma tu imekufanya upanic hivyo????
Tulieni dawa ziwaingie vizuri, mlishazoea kuweka mamluki kupambana na Ccm eeh??? Sasa Safari hii ni baasi!! Chuma kisicho hata na chembe ya umamluki kinapambana na nyie. Jiandaeni tu kukabidhi nchi na kama hamtaki mtaikabidhi kwa nguvu ya umma mwaka huu.
Na huo ndio ukweli mchungu kwa mashabiki wao. Umeongea ukweli mtupu ndugu yangu.Sisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu
Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.
Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.
Utakua mpiga diliSisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu
Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.
Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.