Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020: Sioni hoja za Magufuli na CCM kutushawishi Watanzania tuwachague tena!

Habari zenu wana JF!

Mimi naomba wakereketwa na washabiki wa uongozi wa awamu ya tano watushawishi kwa hoja za msingi kwa nini Magufuli na CCM tuwape kura 2020!

Tunajuwa uwezo wa kujitangazia ushindi wanao, kwa kuwa wao ndiyo wafugaji haliali wa magobore!

Kwa upande wangu nawashawishi Watanzania tusiwachague hawa watu kwa sababu zifuatazo:

1. Uchumi: Hali ya maisha ya watu kifedha ni mbaya kuliko kawaida. Tujiulize tu kila mmoja tangu awamu ya tano ianze, simu unazopokea tu kwa siku, watu wakiomba kusaidiwa pesa zimeongezeka zaidi. Hii ni dalili kuwa hali ya watu kiuchumi siyo nzuri!

2. Biashara nyingi zimedorora au kufa kabisa. Ukipita katika miji mikuɓwa utakuta wachuuzi wamepanga bidhaa mpaka baraɓarani lakini bado wanalalamika kutopata wateja!

3. Wakulima nao hali ni mbaya kuliko kawaida. Mazao hayana wanunuzi na kama wapo yananunuliwa kwa bei ya chini ambayo wakulima hawapati faida bali ni hasara! Kama unabisha waulize wakulima wa korosho!

4. Wavuvi nao hawajaachwa salama! Tingatinga limefanyakazi ambayo si rahisi kusahaulika! Umasikini umewakuta kwa kasi ya dreamliner! Ukibisha waulize walishudia samaki wakipimwa kwa rula wakati taƴari wameshaƙuwa supu!

5. Usalama nalo ni jambo lingine linalonishawishi kutowachagua hawa watu. Siku hizi vibaka mtaani ni wengi sana! Ukipona viɓaka basi wewe utapambana na wasiojulikana.

6. Rushwa nayo imeongezeka badala ya kupungua. Utambiwa mara 1.5T hazijulikani zilipo, mara 2.4T hazionekani mara kuna shimo linaitwa 'vote 20' linameza pesa ɓila kutafuna!

7. Kodi nazo hazihesabiki na wala hazina mpangilio! Wakiamka tu hawa mabwana wakubwa kuwa wauza matembele nao tuwakamue, wanatengeneza vitambulisho visivyo na kichwa wala mkia na kuanza kuwatoza feɗha! Natamani waTz wote tuseme hapana inatosha!

8. Demokrasia na uhuru wa maoni navyo vipo kwenye ncha ya upanga. Ukitaka kuhoji matendo ya serikali inabidi uangalie aliye karibu yako kama unamfahamu au la. Tofauta na hapo utatembelewa na Wasiojulikana. Hofu ni kila mahali.

9. Tanzani ƴa Viwanɗa tuliyohubiriwa haionekani, kumbe uliƙuwa ni ulaghai mtupu! Wajenga viwanda wametokomea kusikojulikana! Tunasubiri viwanda ya umma vilivyomshinda Mwalimu!

10. Wahisani nao amewatibua, ambao walikuwa wanasaidia kwa kiwango kiwa katika maendeleo ya taifa katika nyanja mbalimbali mfano elimu, afƴa nk! Sasa wanawaita mabeberu eti sisi ni 'donor country'! Ngoja tusubiri kipigo cha mbwa mwizi!

11. Huduma za jamii nazo ni hoi! Maji, afya, elimu nk vyote bado ni duni

12. Ajira kwa vijana waliomaliza vyuo hakuna. Hivi ni kipi mtawaeleza WaTz wawaelewe na kuwaunga mkono!?

13. Mishara kwa watumishi wa umma haijaongezeka tangu muingie madarakani! Je huu ni uungwana kweli!?

14. Hata wana CCM wenzenu huku mashinani wanalalamika, vikao mnawaitisha hata soda hawapati! Hivi awamu ya tano faida yenu ni nini!

15. Sasa mvua nazo hazinyeshi sababu Mungu amechukizwa matendo yenu yasiyofaa ya kurudisha maendeleo ƴa watu na taifa nyuma!

16. Chuki na mgawanyiko miongoni mwa wananchi mmeuleta Srikali ya awamu ya tano! Mnasema yapelekwe kwenye madiwani na wabunge wa CCM na si maeneo yote! Ubaguzi ubaguzi!

Kwa haya machache nashawishika kusema, JPM na genge lake si wa kupigiwa kura wajipange kujitangaza kwa nguvu!
Proffesssional article by a Great Thinker..... Mungu akubariki wewe na kizazi chako chote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kujifariji tu Mh Rais kwenye uchaguzi wa 2020 atashinda kwa 92% tunapaswa kuendelea kumshukuru Mungu kwani pumzi, mvua, nuru, giza, jua,maji, aridhi na anga haviko kwenye imaya ya binadamu. Mungu tu alitutunuku la sivyo sijui ingekuwaje, ingebidi tupunguze baadhi ya pumzi za watu ili kubana matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hatukatai hiyo asilimia 92, lakini mtueleze hizo kura apewe kwa lipi!? Au unamaanisha yeye ndiyo Mungu analeta hiyo mvu, jua nk kama unavyosimulia!?
 
STAFUTAHI YA LEO 11/03/2019
Isaya : 30 : 9 -10.
9- Kwa maana watu hawa ni watu waasi, watoto wasemao uongo, watoto wasiotaka kuisikia sheria ya Bwana;
10 - wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watakuambia tunajenga mabarabara, tumenunua madege, tunajenga stiglers gorge, tumejenga fly overs, tumejenga ubungo interchange, tunajenga daraja jipya la salender, nk

Sasa unajiuliza, ujenzi wa hivyo vitu una mahusiano gani na kutowapandisha wafanyakazi madaraja na kuwaongezea mishahara! ambavyo vyote hivyo kimsingi ni haki yao? Mbaya zaidi unawaongezea makato ya bodi ya mikopo kutoka 4% hadi 15%! Ukishawaumiza wafanyakazi maana yake wafanyabiashara na wakulima hawatapona.
Kama kafanya maendeleo why azuie wengine kufanya siasa ambazo chama chake kinafanya? Nawachukia
 
Habari zenu wana JF!

Mimi naomba wakereketwa na washabiki wa uongozi wa awamu ya tano watushawishi kwa hoja za msingi kwa nini Magufuli na CCM tuwape kura 2020!

Tunajuwa uwezo wa kujitangazia ushindi wanao, kwa kuwa wao ndiyo wafugaji haliali wa magobore!

Kwa upande wangu nawashawishi Watanzania tusiwachague hawa watu kwa sababu zifuatazo:

1. Uchumi: Hali ya maisha ya watu kifedha ni mbaya kuliko kawaida. Tujiulize tu kila mmoja tangu awamu ya tano ianze, simu unazopokea tu kwa siku, watu wakiomba kusaidiwa pesa zimeongezeka zaidi. Hii ni dalili kuwa hali ya watu kiuchumi siyo nzuri!

2. Biashara nyingi zimedorora au kufa kabisa. Ukipita katika miji mikuɓwa utakuta wachuuzi wamepanga bidhaa mpaka baraɓarani lakini bado wanalalamika kutopata wateja!

3. Wakulima nao hali ni mbaya kuliko kawaida. Mazao hayana wanunuzi na kama wapo yananunuliwa kwa bei ya chini ambayo wakulima hawapati faida bali ni hasara! Kama unabisha waulize wakulima wa korosho!

4. Wavuvi nao hawajaachwa salama! Tingatinga limefanyakazi ambayo si rahisi kusahaulika! Umasikini umewakuta kwa kasi ya dreamliner! Ukibisha waulize walishudia samaki wakipimwa kwa rula wakati taƴari wameshaƙuwa supu!

5. Usalama nalo ni jambo lingine linalonishawishi kutowachagua hawa watu. Siku hizi vibaka mtaani ni wengi sana! Ukipona viɓaka basi wewe utapambana na wasiojulikana.

6. Rushwa nayo imeongezeka badala ya kupungua. Utambiwa mara 1.5T hazijulikani zilipo, mara 2.4T hazionekani mara kuna shimo linaitwa 'vote 20' linameza pesa ɓila kutafuna!

7. Kodi nazo hazihesabiki na wala hazina mpangilio! Wakiamka tu hawa mabwana wakubwa kuwa wauza matembele nao tuwakamue, wanatengeneza vitambulisho visivyo na kichwa wala mkia na kuanza kuwatoza feɗha! Natamani waTz wote tuseme hapana inatosha!

8. Demokrasia na uhuru wa maoni navyo vipo kwenye ncha ya upanga. Ukitaka kuhoji matendo ya serikali inabidi uangalie aliye karibu yako kama unamfahamu au la. Tofauta na hapo utatembelewa na Wasiojulikana. Hofu ni kila mahali.

9. Tanzani ƴa Viwanɗa tuliyohubiriwa haionekani, kumbe uliƙuwa ni ulaghai mtupu! Wajenga viwanda wametokomea kusikojulikana! Tunasubiri viwanda ya umma vilivyomshinda Mwalimu!

10. Wahisani nao amewatibua, ambao walikuwa wanasaidia kwa kiwango kiwa katika maendeleo ya taifa katika nyanja mbalimbali mfano elimu, afƴa nk! Sasa wanawaita mabeberu eti sisi ni 'donor country'! Ngoja tusubiri kipigo cha mbwa mwizi!

11. Huduma za jamii nazo ni hoi! Maji, afya, elimu nk vyote bado ni duni

12. Ajira kwa vijana waliomaliza vyuo hakuna. Hivi ni kipi mtawaeleza WaTz wawaelewe na kuwaunga mkono!?

13. Mishara kwa watumishi wa umma haijaongezeka tangu muingie madarakani! Je huu ni uungwana kweli!?

14. Hata wana CCM wenzenu huku mashinani wanalalamika, vikao mnawaitisha hata soda hawapati! Hivi awamu ya tano faida yenu ni nini!

15. Sasa mvua nazo hazinyeshi sababu Mungu amechukizwa matendo yenu yasiyofaa ya kurudisha maendeleo ƴa watu na taifa nyuma!

16. Chuki na mgawanyiko miongoni mwa wananchi mmeuleta Srikali ya awamu ya tano! Mnasema yapelekwe kwenye madiwani na wabunge wa CCM na si maeneo yote! Ubaguzi ubaguzi!

Kwa haya machache nashawishika kusema, JPM na genge lake si wa kupigiwa kura wajipange kujitangaza kwa nguvu!
Kwa hiyo mbadala wake awe nani..nenda kachambie hoja zako..utamdanganya nani zama hizi..unatuletea mambo ya mwaka 47 hapa..hatudanganyiki..kama maisha ya mjini yamekushinda nenda kalime...ardhi ipo kibao kule..
 
Nchi imejaa laana hata mvua hazinyeshi,kuwarudisha hawa madhalimu mazulumati ni kutaka kuigeuza nchi kuwa kuzimu,uzuri kila mmoja kaona rangi halisi,wakirudi tu
Kikokotoo kitarudi
Machinga watafukuzwa kama mbwa wameachwa ili wapate kura
Bomoabomoa itarudi kwa kasi ya 10G
Usalama wa RAIA utakuwa shakani tutaishia siku zake zilifika,
Kuongezeka kwa kisasi
Utekaji, viroba
Wasiojulikana wataongezeka
Hali ya maisha itakuwa ngumu mara 20 ya sasa tutakula hadi nguo,
Fedha zetu zitaporwa kwenye mabenk,
Kodi zitaongezwa na mpya kuanzishwa
Kosa ni kurudia kosa,zamu yao kusomesha namba.
Hehehehhe mtakuwa mmetumwa na mashetanisi bure..kama wazungu ndivyo wanavyowadanganya mmebugi men..! Hatudanganyiki..tafuteni wimbo mpya..!
 
Kama kafanya maendeleo why azuie wengine kufanya siasa ambazo chama chake kinafanya? Nawachukia
Subirini wakati wa kampeni ukifika..wananchi hatuna muda wa siasa saizi..mmeshatuibia sana tumechoka...kama hamna kazi mjini nendeni mkatafute mashamba mlime
 
Million 50 kila kijiji ziko wapi?.....

Kurudi kwa kodi ya kichwa 20000 kwanini??

Kumsafisha fisadi aliyemkataa na kusema mafisadi yamekimbilia upinzani?........

Kumsafisha Rostam fisadi wa siku zote utawaambia nini watu 2020?.......

Ajira ndio bomu hatari kwa serikali yake utawaambia nini wahitimu?.....

Kutumia pesa za umma kuwanunua wapinzani utawaambia nini watu?.....

Only fool can vote to Magufuli na atakuwa Rais wa wajinga akishinda ..........



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hizi nyimbo zimepitwa na wakati..kama ni mafisadi wapinzani walishawasafisha wote...Lissu alikwambia ajenda kwao si ufisadi tena...wimbo huo wananchi walishauchoka na ndio maana wakawakaribirisha watuhumiwa wa ufisadi..unasemaje...braza..tafuteni nyimbo mpya
 
Safari hii hata akipig- za kuning'ia ukutani hapati kura. Uzoefu unatuonyesha wapiga push up hawana maarifa ya uongozi!
Wananchi asilimia 90 wapo nyuma ya Magufuli, sijui una neno..nyinyi mliobaki hata mkikaa nyumbani siku ya uchaguzi haitaharibu chochote .
 
Back
Top Bottom