Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Labda kama hauna macho kwa yanayofanyika. Kiukweli hawatatumia nguvu nyingi kwenye kampeini, kwa mfano
1. Vituo vya afya vinaota kama uyoga
2. Barabara kama wanatandika mikeka tu kila kukicha
3. Reli ndio siongei
4. Ndege....
5. Viwanja vya ndege
6. Mabadiliko ya ccm
7. Mahospitali ya Wilaya.
8. Bei za mazao zinaboreshwa eg Korosho na pamba
9. Viwanda vya kutosha vipya vinajengwa kila siku
Yaani vitu ni vingi mpaka naweza jaza ukurasa mzima hapa.
Ushindi kwa CCM ni asubuhi hakuna cha kampeini labda kwa wabunge kidooogo watapata upinzani, maana wengi wanakaa kimya tu bungeni na wengine hawajielewi.
Ni hayo tu kwa 2020
Povu ruksa
1. Vituo vya afya vinaota kama uyoga
2. Barabara kama wanatandika mikeka tu kila kukicha
3. Reli ndio siongei
4. Ndege....
5. Viwanja vya ndege
6. Mabadiliko ya ccm
7. Mahospitali ya Wilaya.
8. Bei za mazao zinaboreshwa eg Korosho na pamba
9. Viwanda vya kutosha vipya vinajengwa kila siku
Yaani vitu ni vingi mpaka naweza jaza ukurasa mzima hapa.
Ushindi kwa CCM ni asubuhi hakuna cha kampeini labda kwa wabunge kidooogo watapata upinzani, maana wengi wanakaa kimya tu bungeni na wengine hawajielewi.
Ni hayo tu kwa 2020
Povu ruksa