johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,833
Nimejuzwa kuwa chekeche la kamati kuu ya CCM baada ya kura za maoni litakuwa si la kitoto.
Wagombea watapaswa kupata hati za utakaso kutoka mamlaka za kodi na taasisi zinazozuia rushwa na uhalifu.
Lengo la umakini huu wa CCM ni kupeleka bungeni watu makini, wazalendo na wasio na chembe ya hila.
Bunge letu ni tukufu hivyo tunatazamia 2020 bunge likaakisi utukufu wake kwa aina ya wabunge tutakaowapeleka, wakwepa kodi, majambazi, wezi, wapiga dili na wala rushwa hawana nafasi kabisa labda wakapitie vyama vya upinzani amemalizia kunieleza mzee Mwilima.
Maendeleo hayana vyama!
Wagombea watapaswa kupata hati za utakaso kutoka mamlaka za kodi na taasisi zinazozuia rushwa na uhalifu.
Lengo la umakini huu wa CCM ni kupeleka bungeni watu makini, wazalendo na wasio na chembe ya hila.
Bunge letu ni tukufu hivyo tunatazamia 2020 bunge likaakisi utukufu wake kwa aina ya wabunge tutakaowapeleka, wakwepa kodi, majambazi, wezi, wapiga dili na wala rushwa hawana nafasi kabisa labda wakapitie vyama vya upinzani amemalizia kunieleza mzee Mwilima.
Maendeleo hayana vyama!