Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Rais Ben Mkapa huwaita "hawa wote kokoto tu". (namsamehe kwa kuwa alikuwa amekula Valuu).
Lakini kama CCM watasimamisha mgombea Mkristo 2015, isitarajie kushinda maana Waislamu kupitia nyumba zao za ibada walishasema kupitia waraka wao (niliusoma hapa hapa jamvini) kuwa 2010 kura kwa Dr.Dr.Dr.Dr. Kikwete, 2015 kura kwa Prof. Lipumba.
Kuthibitisha hilo,fikiria matokeo ya kura za vituo jimboni kwa mh. Zitto Kabwe: Urais alikuwa akiongoza JK, Ubunge Zitto Kabwe. Sipigi majungu. Nilikuwa nafuatilia vizuri sana wakati wa kusoma matokeo ya kura za vituo, japo si kwa majimbo yote, lakini Kigoma Kaskazini nilisikia hali ilivyokuwa.
So 2015 ni mpambano kati ya Dr. Slaa (kichuguu) na Prof. Lipumba (Mt. Kilimamnjaro)?
Atakeyeona hii ni crap apotezee. Mods kama vipi mkiona nina-provoke udini ban me.
Nanyamke kaya!!!
Lakini kama CCM watasimamisha mgombea Mkristo 2015, isitarajie kushinda maana Waislamu kupitia nyumba zao za ibada walishasema kupitia waraka wao (niliusoma hapa hapa jamvini) kuwa 2010 kura kwa Dr.Dr.Dr.Dr. Kikwete, 2015 kura kwa Prof. Lipumba.
Kuthibitisha hilo,fikiria matokeo ya kura za vituo jimboni kwa mh. Zitto Kabwe: Urais alikuwa akiongoza JK, Ubunge Zitto Kabwe. Sipigi majungu. Nilikuwa nafuatilia vizuri sana wakati wa kusoma matokeo ya kura za vituo, japo si kwa majimbo yote, lakini Kigoma Kaskazini nilisikia hali ilivyokuwa.
So 2015 ni mpambano kati ya Dr. Slaa (kichuguu) na Prof. Lipumba (Mt. Kilimamnjaro)?
Atakeyeona hii ni crap apotezee. Mods kama vipi mkiona nina-provoke udini ban me.
Nanyamke kaya!!!