coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
Ni dhahiri kwamba idadi ndogo ya waliojitokeza kugombea ubunge na udiwani kupitia CHADEMA mwaka huu ilitokana na chama hicho kutokujulikana sana hasa vijijini na vilevile kudhaniwa kuwa hawawezi kushinda kwa hiyo watakua wamepoteza fedha na muda wao.
Kwa ushindi wa CHADEMA mwaka huu ni dhahiri kuwa idadi ya wanaotaka kuwania viti mbalimbali kupitia chama hicho itaongezeka maradufu na kufanya zoezi la uteuzi liwe gumu kama ilivyokua CCM. Ni bora CHADEMA wajipange kuhakikisha vigezo vinavyoeleweka na vilivyo dhahiri vinawekwa kuepusha ufisadi katika mchakato wa kura za maoni
Kwa ushindi wa CHADEMA mwaka huu ni dhahiri kuwa idadi ya wanaotaka kuwania viti mbalimbali kupitia chama hicho itaongezeka maradufu na kufanya zoezi la uteuzi liwe gumu kama ilivyokua CCM. Ni bora CHADEMA wajipange kuhakikisha vigezo vinavyoeleweka na vilivyo dhahiri vinawekwa kuepusha ufisadi katika mchakato wa kura za maoni