geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 166
Mimi napendelea mabadiliko hasa...na pia ninavyotafakari na kuona hali ya wananchi wa hali ya chini....nadhani Tanzania tunahitaji kuona kuwa tunakoelekea ni karibu... Ukaribu huo ni kwa kujiandaa hasa kwa uchaguzi wa 2015. Nishauri sasa kwa wale mnaopenda mabadiliko...basi jiandikisheni katika kitabu cha kupiga kura siku si nyingi CCM wataona kuwa ufisadi na kuwafanya watu wawe maskini......ndiyo hukumu yao...