Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Pasco huyo mama ana pes EL na RA hivyio kazi ipo kubwa kwa jinsi alivyomg'oa mgombea wa JK Mwangunga. Ni lazima tufanya kazi ya ziada kuhakikisha kuwa kura za Mnyika haziibiwi hata kidogo. Kuanzia kesho tuwapashe habari wakzi wote wa Ubungo ambao hawakutazama kipindi hicho kuhusu kashfa hiyo.