Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kesho tutapiga kura. Watanzania watapimwa tena kama ni werevu au wajinga kwa kiwango gani:
1. Ukimchagua Kikwete: ama wewe ni mjinga/juha usiyejua kitu au una maslahi yasiyo halali unataka kuyalinda.
2. Ukimchagua Dr. Slaa: wewe ni mwerevu, unataka mabadiliko kupata changamoto mpya chini ya serikali mpya
Hatimaye Mwenyezi Mungu atafanya majumuisho.
Asilimia atakazopata JK zitaashiria ujinga/ujuha na ufisadi wa Watanzania.
Asilimia atakazopata Slaa(PhD) ni kipimo cha werevu na ukomavu wa kifikra wa Watanzania.
Kazi kwenu Watanzania.
Tanzania itahukumiwa kwa kile Watanzania wataamua kesho.
1. Ukimchagua Kikwete: ama wewe ni mjinga/juha usiyejua kitu au una maslahi yasiyo halali unataka kuyalinda.
2. Ukimchagua Dr. Slaa: wewe ni mwerevu, unataka mabadiliko kupata changamoto mpya chini ya serikali mpya
Hatimaye Mwenyezi Mungu atafanya majumuisho.
Asilimia atakazopata JK zitaashiria ujinga/ujuha na ufisadi wa Watanzania.
Asilimia atakazopata Slaa(PhD) ni kipimo cha werevu na ukomavu wa kifikra wa Watanzania.
Kazi kwenu Watanzania.
Tanzania itahukumiwa kwa kile Watanzania wataamua kesho.