tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
........niliacha kusikiliza kipindi cha jahazi kwa sababu ya Kibonde. I may resume tuning it on when he leaves broadcasting it. Kama kuna jambo analoshabikia huwa anachonga sana...mbaya zaidi huwa anatawaliwa na majungu zaidi,hapati muda wa kufanyia utafiti jambo. Kuna namna nyingi za bootlicking ila ya huyu Kibonde imezidi.
.....hey...hold on a second.....his name is Kibonde.....in swahili it sounds something numb,something brainless,....isn't it?
.....hey...hold on a second.....his name is Kibonde.....in swahili it sounds something numb,something brainless,....isn't it?