Elections 2010 UCHAGUZI 2010: CCM Vs CCM

Apr 27, 2006
26,588
10,364
- Asalam aleykum ndugu zangu Jamiiforums, habari za matokeo ya uchaguzi wa jana yana tia moyo kwa maana ya kwamba sio siri sasa kwamba wananchi wa Tanzania, wameanza kuamka usingizini na sio kama ule usingizi fo! fo! fo! waliokuwa nao zamani. Ukiangalia kwa undani sana utagundua katika sehemu nyingi za uchaguzi, joto ya jiwe ilikuwa ni CCM against CCM yenyewe, ingawa pia Chadema wanastahili pongezi sana kwa juhudi zao nzito hasa za dakika za mwishoni za kuwafikia wanachi wengi walioko vijijini na hasa miji midogo.

- Dr. Slaa, ni lazima aende ndani ya vitabu vya historia kama shujaa aliyewahi kuipigisha magoti CCM, tena single handed as Dr. Slaa, yes I sad it, single handed as Dr. Slaa. Matokeo ya uchaguzi wa jana yanamuweka Dr. Slaa juu ya wapinzani wote waliowahi kutokea na kuishi siasa za upinzani katika historia ya taifa letu, Mungu ambarikie na Aibariki Tanzania.

- Pamoja na kwamba matokeo kamili hayajasemwa rasmi, sio siri kwamba wapinzani hasa Chadema, wamefanikiwa sana katika kujiwekea imani na wanachi. Vita vikubwa vya CCM against CCM vimeisadia sana Chadema na wapinzani wote na linapaswa kua fundisho kwa CCM kwamba wakati ni huu wa kujirekebisha ama sivyo watarekebishwa zaidi kwa kura za wananchi 2015.

- Pamoja na CCM kushinda, bado historia inatakiwa kuwaandika Wapinzani na hasa Chadema kuwa ndio hasa washindi wa uchaguzi wa mwaka 2010, ninapenda kutoa heshima zangu za dhati kwa Wapinzani wote Tanzania, na hasa Chadema kwa kazi nzito na welldone. Ni wakati wa CCM kurudi nyuma na kutafakari na kujirkebisha au kusubiri kurekebishwa zaidi na kura za wananchi 2015.

Ahsanteni Wandugu, na Mungu Aibariki Tanzania.


William.
 
- Asalam aleykum ndugu zangu Jamiiforums, habari za matokeo ya uchaguzi wa jana yana tia moyo kwa maana ya kwamba sio siri sasa kwamba wananchi wa Tanzania, wameanza kuamka usingizini na sio kama ule usingizi fo! fo! fo! waliokuwa nao zamani. Ukiangalia kwa undani sana utagundua katika sehemu nyingi za uchaguzi, joto ya jiwe ilikuwa ni CCM against CCM yenyewe, ingawa pia Chadema wanastahili pongezi sana kwa juhudi zao nzito hasa za dakika za mwishoni za kuwafikia wanachi wengi walioko vijijini na hasa miji midogo.

- Dr. Slaa, ni lazima aende ndani ya vitabu vya historia kama shujaa aliyewahi kuipigisha magoti CCM, tena single handed as Dr. Slaa, yes I sad it, single handed as Dr. Slaa. Matokeo ya uchaguzi wa jana yanamuweka Dr. Slaa juu ya wapinzani wote waliowahi kutokea na kuishi siasa za upinzani katika historia ya taifa letu, Mungu ambarikie na Aibariki Tanzania.

- Pamoja na kwamba matokeo kamili hayajasemwa rasmi, sio siri kwamba wapinzani hasa Chadema, wamefanikiwa sana katika kujiwekea imani na wanachi. Vita vikubwa vya CCM against CCM vimeisadia sana Chadema na wapinzani wote na linapaswa kua fundisho kwa CCM kwamba wakati ni huu wa kujirekebisha ama sivyo watarekebishwa zaidi kwa kura za wananchi 2015.

- Pamoja na CCM kushinda, bado historia inatakiwa kuwaandika Wapinzani na hasa Chadema kuwa ndio hasa washindi wa uchaguzi wa mwaka 2010, ninapenda kutoa heshima zangu za dhati kwa Wapinzani wote Tanzania, na hasa Chadema kwa kazi nzito na welldone. Ni wakati wa CCM kurudi nyuma na kutafakari na kujirkebisha au kusubiri kurekebishwa zaidi na kura za wananchi 2015.

Ahsanteni Wandugu, na Mungu Aibariki Tanzania.


William.
futa kwanza kauli yako mzee ..ukidai ccm againts ccm unakuwa hueleweki,ila nakubaliana na point yako kuwa dr Slaa wa ukweli ameshaingia kwenye historia ya Tanzania kwa kuwa mpinzani wa kwanza kuingia madarakani .right?
 
- Kwenye uwanja wa Great Thinkers kuna kuogopana majina? toka lini mkuu? ha! ha! ha! ha!


william.
is better you go to sleep now!!!!
Ubunge Masasi - CUF
Ubunge Ukerewe - Salvatory Naluyege/CHADEMA
Ubunge Vunjo (Kilimanjaro) - Augustine Lyatonga Mrema/TLP
Ubunge Lindi - Salum Barwani/CUF (mshindani wa karibu Mohammed Abdulaziz/CCM)
Ubunge Mbeya Mjini - Joseph Mbilinyi (Mr. II aka Sugu)/CHADEMA
Ubunge Moshi Mjini - Philemon Ndesamburo Kiwelu/CHADEMA
Ubunge Biharamulo Magharibi - Dk Antony Mbasa/CHADEMA
Ubunge Kasulu Mjini - Machali Moses/NCCR Mageuzi
Ubunge Rombo - Julius Selasini/CHADEMA (mshindani wa karibu Basil Mramba/CCM)
Ubunge Nyamagana - Hezekiah Wenje/CHADEMA (mshindani wa karibu Lawrence Masha/CCM)
Ubunge Iringa Mjini - Mchungaji Peter Msigwa/CHADEMA (mshindani wa karibu Monica Mbega/CCM)
Ubunge Hai - Freeman Mbowe/CHADEMA
Ubunge Musoma Mjini - Vincent Nyerere/CHADEMA
Ubunge Arusha Mjini - Godbless Lema/CHADEMA (mpinzani wa karibu Batilda Burian/CCM)
Ubunge Kigoma Kaskazini - Zitto Kabwe/CHADEMA
Ubunge Ilemela - Hayness Samson/CHADEMA (mshindani wa karibu Anthony Diallo/CCM)
Ubunge Maswa Magharibi - John Shibuda/CHADEMA
Ubunge Meatu - Meshack Opulukwa/CHADEMA
Ubunge Maswa Mashariki - Sylvester Kasulimbayi Mhoja/CHADEMA

Bwaha ha ah aha ha !! ccm against ccm
na bado mvua itaendelea kukunyea :smile-big:
 
is better you go to sleep now!!!!
Ubunge Masasi - CUF
Ubunge Ukerewe - Salvatory Naluyege/CHADEMA
Ubunge Vunjo (Kilimanjaro) - Augustine Lyatonga Mrema/TLP
Ubunge Lindi - Salum Barwani/CUF (mshindani wa karibu Mohammed Abdulaziz/CCM)
Ubunge Mbeya Mjini - Joseph Mbilinyi (Mr. II aka Sugu)/CHADEMA
Ubunge Moshi Mjini - Philemon Ndesamburo Kiwelu/CHADEMA
Ubunge Biharamulo Magharibi - Dk Antony Mbasa/CHADEMA
Ubunge Kasulu Mjini - Machali Moses/NCCR Mageuzi
Ubunge Rombo - Julius Selasini/CHADEMA (mshindani wa karibu Basil Mramba/CCM)
Ubunge Nyamagana - Hezekiah Wenje/CHADEMA (mshindani wa karibu Lawrence Masha/CCM)
Ubunge Iringa Mjini - Mchungaji Peter Msigwa/CHADEMA (mshindani wa karibu Monica Mbega/CCM)
Ubunge Hai - Freeman Mbowe/CHADEMA
Ubunge Musoma Mjini - Vincent Nyerere/CHADEMA
Ubunge Arusha Mjini - Godbless Lema/CHADEMA (mpinzani wa karibu Batilda Burian/CCM)
Ubunge Kigoma Kaskazini - Zitto Kabwe/CHADEMA
Ubunge Ilemela - Hayness Samson/CHADEMA (mshindani wa karibu Anthony Diallo/CCM)
Ubunge Maswa Magharibi - John Shibuda/CHADEMA
Ubunge Meatu - Meshack Opulukwa/CHADEMA
Ubunge Maswa Mashariki - Sylvester Kasulimbayi Mhoja/CHADEMA

Bwaha ha ah aha ha !! ccm against ccm
na bado mvua itaendelea kukunyea :smile-big:

- Ha! ha! ha! ha! ha! what a Great Thinker HA! ha!

William.
 
Nimekugongea thanks mkuu japo kuwa umeshindwa kutupa credit wananchi moja kwa moja kwamaba tumechoka kufisadiwa badala yake unasema maamuzi yetu yametokana na ugomvi kati ya ccm na ccm.hata kama wangekuwa hawajagombana watanzania wameamka sasa na hio 2015 tunawafuta kabisa ccm kwenye uongozi wa nchi yetu.
 
- Dr. Slaa, ni lazima aende ndani ya vitabu vya historia kama shujaa aliyewahi kuipigisha magoti CCM, tena single handed as Dr. Slaa, yes I sad it, single handed as Dr. Slaa. Mungu ambarikie na Aibariki Tanzania.

Pamoja na kwamba matokeo kamili hayajasemwa rasmi, Chadema ndio hasa washindi wa uchaguzi wa mwaka 2010, ninapenda kutoa heshima zangu za dhati kwa Wapinzani wote Tanzania, na hasa Chadema kwa kazi nzito na welldone.

Ahsanteni Wandugu, na Mungu Aibariki Tanzania.

William.

Mueleweni huyu Bwana. Anathibitisha kwa maneno machache kuwa washindi wa uchaguzi ni Chadema na rais wa Watanzania ni Dr Slaa. Anathibitisha kama nilivyokwishasema kwenye threadi nyingine kuwa kazi ya Dr. Slaa kama Rais wa Watanzania ni kuponya majeraha ya umoja wetu uliojeruhiwa vibaya sana kwa kampeni zisizofaa za CCM na timu ya JK za kuwagawa Watanzania kwa tamaa mbaya ya kupata madaraka.
 
Nimekugongea thanks mkuu japo kuwa umeshindwa kutupa credit wananchi moja kwa moja kwamaba tumechoka kufisadiwa badala yake unasema maamuzi yetu yametokana na ugomvi kati ya ccm na ccm.hata kama wangekuwa hawajagombana watanzania wameamka sasa na hio 2015 tunawafuta kabisa ccm kwenye uongozi wa nchi yetu.

- Mkuu uko sawa sana, unajua ni mapungufu yangu tu kama bin-adam nikasahau hilo ni kweli sana Jamii forums played a big role, unajua nimeshitushwa sana na the last three days tulipokuwa kwenye mjadala wa yule dada wa kizungu,

- I mean hundreds of people wamini-contact through that topic I was shocked, mkuu uko right JF inahitaji pongezi sana na huu muamko wa wananchi, na ninasema haya toka moyoni mwangu.

William.
 
Huyu ni mwenzetu tupo naye hapa tunabeba naye box wakati mwingine mabox haya yanatupunyua nywele zetu na kuzifanya ziwe fupi. Si unajua tena akili ni nywele....
 
Mueleweni huyu Bwana. Anathibitisha kwa maneno machache kuwa washindi wa uchaguzi ni Chadema na rais wa Watanzania ni Dr Slaa. Anathibitisha kama nilivyokwishasema kwenye threadi nyingine kuwa kazi ya Dr. Slaa kama Rais wa Watanzania ni kuponya majeraha ya umoja wetu uliojeruhiwa vibaya sana kwa kampeni zisizofaa za CCM na timu ya JK za kuwagawa Watanzania kwa tamaa mbaya ya kupata madaraka.
well said!!!God bless you William
 
Acheni kumshambulia Bill JSCM, CCM against CCM ni kule Mtera... Nasikia kule Dogo Lusinde ameshinda kwa tofauti ya kura chache... Ni kweli???
 
Mueleweni huyu Bwana. Anathibitisha kwa maneno machache kuwa washindi wa uchaguzi ni Chadema na rais wa Watanzania ni Dr Slaa. Anathibitisha kama nilivyokwishasema kwenye threadi nyingine kuwa kazi ya Dr. Slaa kama Rais wa Watanzania ni kuponya majeraha ya umoja wetu uliojeruhiwa vibaya sana kwa kampeni zisizofaa za CCM na timu ya JK za kuwagawa Watanzania kwa tamaa mbaya ya kupata madaraka.

- Well, Great Thinkers hawahitaji kukumbushwa nilichokisema maana kinaeleweka, wala sina sababu ya kurudia!

William.
 
je lingekuwa mechi ya football chadema vs ccm.... score ingekuwa ngapi ngapi????.....wazeee....rais atakuwa nani?????????????.....tuwasikilize watanzania
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom