William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,364
- Asalam aleykum ndugu zangu Jamiiforums, habari za matokeo ya uchaguzi wa jana yana tia moyo kwa maana ya kwamba sio siri sasa kwamba wananchi wa Tanzania, wameanza kuamka usingizini na sio kama ule usingizi fo! fo! fo! waliokuwa nao zamani. Ukiangalia kwa undani sana utagundua katika sehemu nyingi za uchaguzi, joto ya jiwe ilikuwa ni CCM against CCM yenyewe, ingawa pia Chadema wanastahili pongezi sana kwa juhudi zao nzito hasa za dakika za mwishoni za kuwafikia wanachi wengi walioko vijijini na hasa miji midogo.
- Dr. Slaa, ni lazima aende ndani ya vitabu vya historia kama shujaa aliyewahi kuipigisha magoti CCM, tena single handed as Dr. Slaa, yes I sad it, single handed as Dr. Slaa. Matokeo ya uchaguzi wa jana yanamuweka Dr. Slaa juu ya wapinzani wote waliowahi kutokea na kuishi siasa za upinzani katika historia ya taifa letu, Mungu ambarikie na Aibariki Tanzania.
- Pamoja na kwamba matokeo kamili hayajasemwa rasmi, sio siri kwamba wapinzani hasa Chadema, wamefanikiwa sana katika kujiwekea imani na wanachi. Vita vikubwa vya CCM against CCM vimeisadia sana Chadema na wapinzani wote na linapaswa kua fundisho kwa CCM kwamba wakati ni huu wa kujirekebisha ama sivyo watarekebishwa zaidi kwa kura za wananchi 2015.
- Pamoja na CCM kushinda, bado historia inatakiwa kuwaandika Wapinzani na hasa Chadema kuwa ndio hasa washindi wa uchaguzi wa mwaka 2010, ninapenda kutoa heshima zangu za dhati kwa Wapinzani wote Tanzania, na hasa Chadema kwa kazi nzito na welldone. Ni wakati wa CCM kurudi nyuma na kutafakari na kujirkebisha au kusubiri kurekebishwa zaidi na kura za wananchi 2015.
Ahsanteni Wandugu, na Mungu Aibariki Tanzania.
William.
- Dr. Slaa, ni lazima aende ndani ya vitabu vya historia kama shujaa aliyewahi kuipigisha magoti CCM, tena single handed as Dr. Slaa, yes I sad it, single handed as Dr. Slaa. Matokeo ya uchaguzi wa jana yanamuweka Dr. Slaa juu ya wapinzani wote waliowahi kutokea na kuishi siasa za upinzani katika historia ya taifa letu, Mungu ambarikie na Aibariki Tanzania.
- Pamoja na kwamba matokeo kamili hayajasemwa rasmi, sio siri kwamba wapinzani hasa Chadema, wamefanikiwa sana katika kujiwekea imani na wanachi. Vita vikubwa vya CCM against CCM vimeisadia sana Chadema na wapinzani wote na linapaswa kua fundisho kwa CCM kwamba wakati ni huu wa kujirekebisha ama sivyo watarekebishwa zaidi kwa kura za wananchi 2015.
- Pamoja na CCM kushinda, bado historia inatakiwa kuwaandika Wapinzani na hasa Chadema kuwa ndio hasa washindi wa uchaguzi wa mwaka 2010, ninapenda kutoa heshima zangu za dhati kwa Wapinzani wote Tanzania, na hasa Chadema kwa kazi nzito na welldone. Ni wakati wa CCM kurudi nyuma na kutafakari na kujirkebisha au kusubiri kurekebishwa zaidi na kura za wananchi 2015.
Ahsanteni Wandugu, na Mungu Aibariki Tanzania.
William.