Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,638
kina nani hao
Hapo sasa sidhani kama walikumbuka protection...you get more than what you wanted.. Disease, baby unplanned!! Shughuli
Dah! Kwa hiyo huko bongo movie hakuna taabu ya papuch! Unavuta unagonga, kabla ya location,raha ilioje" jamaaa anajigongea kwa ulaiiiiiiiini.
Six years today...muvi ilishatoka? tupe jina tuitafuteHizi ni shots ambazo ziko kwenye movie ambayo inategemea kutoka muda si mrefu!
wasanii bado wako location, lakini, wewe kama mdau wa sanaa, una maoni gani kuhusu hizi shot chache zilizopigwa hapa?
hizo ni baadhi tu ya shots chache kutoka location! sasa swali la msingi hapa ni kwamba, je kuna haja ya serikali kuendelea kuwazuia hawa wasanii wetu? mbona kila kitu wanakifahamu lakini bado wanafanya yale yale wadau?
wakijibu nitagiSix years today...muvi ilishatoka? tupe jina tuitafute