Uchafu Uliokithiri katika miji ya kibongo!

Esta

New Member
Nov 15, 2010
4
0
Habari JF wote!

Nina issue inanisumbua sana. Nayo ni kuhusu uchafu uliokithiri katika miji yetu ya kibongo. Katika hili nisingependa mtu alaumu. Kama ni makosa yalifanyika na kila mtu anajua. Ninachotaka hapa ni kitu gani kifanyike kwa sasa. Nataka mikakati ya ufumbuzi ili tusiendelee kuisha kama vile nchi haina watu wanaoelewa.

Natanguliza shukrani zangu kwa mchango wenu.



Esta
 
Hata mtoto hataki kuuona

haiti.jpg
 
Ilikuwa siku ya valentine mchungaji...life goes on...nadhani kaelement fulani ka wanyama akajatutoka bado


haiti.jpg

Ana mguu mzuri na umbile kwa ujumla! Anateseka kwa uchafu.....ukiangalia vizuri hayo maji yanaweza kuwa kama kioo mama anashanga kibao na G string nyeupe check kwa chini.
 

Attachments

  • haiti.jpg
    haiti.jpg
    337.1 KB · Views: 34
bonge ya toto ,uchafu kitu gani ,usafi kitu gani,mji si mchafu huyo da:nono:da na uzuri wake ndio mchafu ile mbaya,kama yeye ni mkazi wapo,wananchi ndio wachafu kwa sababu wanachafua,mfano uje chumbani kwangu ukute pachafu,utasema chumba kichafu au mimi mchafu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,?????????????:bowl:
 
Back
Top Bottom