kelvin colman
New Member
- Dec 30, 2015
- 4
- 1
Thatx iz a fungal infection...its better if u consult a doc
sasa si hajulikani hata mm sijulikani
Fahamu sababu, tiba ya muwasho sehemu za siria
sante
Yes Sema Ajitahidi kuwa Msafi..... Anapoenda Haja Awe anajisafishaKwahiyo atulie tu litapotea sio. Hahah
Achana Nao hao Bhana We si Mtu w Kwanz Kuleta Matatizo.. na Jukwaa Ni Husika La JF doctor labda Wao wanadhani wapo Habari na Hoja Mbalimbalisasa si hajulikani hata mm sijulikani
Kama bado anahiyo shida tell me nimpe dawa,,Mke wangu siku za karibuni ana uchafu mweupe mwingi tofauti na zamani,
Kila nikimaliza tendo nikitoa dushelele linazungukwa na uchafu mweupe mwingi.
Hakua hivyo zamani ,upendo unazidi kupungua.Hivi huu niugonjwa au
Mkuu aende kwa mwaka..........
The creamy stuff you are talking about is very normal.
Almost every girl I have been with has had that. It is actually a turn on for me and most other guys. I am actually turned off when i don't see that white creamy stuff during sex.
Mature and experienced guys know that its essential for the lady to be able to lubricate herself well during sex.
Hapana hajakosea, ndio maana tunatumia 'Anonymous name". Ndani ya jamvi tuna watalaam mbalimbali wakiwemo wa afya. Huoni ushauri uliotolewa ni wa kitalaam zaidi. Yeye aufanyie kazi. Sidhani yeye kwa kusema hivyo ametuwezesha kumfaham mke wakeMbona wanaume wa siku hizi mmekosa haya hivyo?
Huyo ni mkeo lakini unakuja kuanika aibu zake hapa kweli jamani?
Yani umemuona na hali hiyo kwann usimpeleke hospitali unakuja kuomba ushauri humu ili iweje,
Kuna mambo ya kuomba ushauri lakini si haya,
Ulishakaa nae chini ukamwambia?
Alishawahi kulalamika unamuumiza?
Akifika kileleni hua anatokwa nini?
Zungumza na mwenzio kwanza achana na mambo ya vijiweni,
Eti UPENDO UNAPUNGUA,
Hovyooooo!!