mkuyati og
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 821
- 587
Mke wangu siku za karibuni ana uchafu mweupe mwingi tofauti na zamani,
Kila nikimaliza tendo nikitoa dushelele linazungukwa na uchafu mweupe mwingi.
Hakua hivyo zamani ,upendo unazidi kupungua.Hivi huu niugonjwa au
No cause for concern young man, kwani anapata maumivu au muwasho? Wewe je unapata muwasho?
Hizo ni secretions tu zinazotokana na yeye kuwa stimulated,, nothing more. Usitafute mchawi, naona watu wanakupoteza humu. Tofautisha when a woman is having a fungal infection (muwasho, maumivu, kutoa uchafu constantly),, and when a woman is simply "creamy". Za kuambiwa changanya na zako