Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,734
- 4,024
Kabisa mkuu nilivyokua kusini nilikua sipendi coke kabisa ila now nipo kaskazini nilijaribu kunywa coke now nimekua mteja waoBasi pepsi kwa huku kaskazini wamefeli, kwanza soda coke ya kaskazini ina ladha sio kitoto, maji hayana chumvi chumvi ni matamu balaa, ni kama yalivyo tu maji ya Kilimanjaro yalivyo na taste