Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,085
Binafsi, pamoja na kero hususani uchache wa mabasi mida ya abiria wengi lkn yamenisaidia sana kupunguza muda wa kukaa barabarani. Suala la tiketi sio ishu, kama ni mtumiaji wa mara kwa mara wa usafiri huu nunua kadi, hutapata shida yoyote kupanga foleni kusubiri tiketi.Hayo uliyoandika ungewashauri wangekusikia kuliko kuja na conclusion ya kuondolewa. Kuna watu yanawasaidia sana tofauti na unavyodhani