Ubuntu software

kikahe

JF-Expert Member
May 23, 2009
1,350
282
Hello members! Tafadhali naomba kama kuna mtu ana uzoefu na OS ya UBUNTU. Je ni compatible na other MS applications? Nimesikia hii OS haiingizi VIRUS. Naomba elimu kwenye hili plz
 
Yah ni nzuri.Kama ukiwa mpenzi wa IT.Kuhusu compartibility yake na ms application, kuna software una install inaitwa wine, na inaweza run baadhi ya windows software ukiwa ndani ya ubuntu.
Hii ni open source and free, kwa hiyo wadudu huku hawatusumbui kabisa. Try it along with us windows os and see.
 
Yah ni nzuri.Kama ukiwa mpenzi wa IT.Kuhusu compartibility yake na ms application, kuna software una install inaitwa wine, na inaweza run baadhi ya windows software ukiwa ndani ya ubuntu.
Hii ni open source and free, kwa hiyo wadudu huku hawatusumbui kabisa. Try it along with us windows os and see.
Je, kama unatumia Ubuntu na Windows, na ukitaka kuitoa Ubuntu bila kutoa Windows inakuwaje?
 
Unaweza kuiuninstall then unaweza kutumia partition magic kurudishia HD space.
 
Hello members! Tafadhali naomba kama kuna mtu ana uzoefu na OS ya UBUNTU. Je ni compatible na other MS applications? Nimesikia hii OS haiingizi VIRUS. Naomba elimu kwenye hili plz

Kikahe, Ubuntu ni version ya Linux. Linux zote huwa haziingizi virus. Unapo install ubuntu unapata office system inayoitwa open office (hii ina spreadsheet, word, presentation, na dbbase) kama unataka kutumia Ms application itakubidi uinstall windows then ufanye setup kwenye boot loader (Grub au LILO) ili uweze kuwa na dual boot ili utumie operating system zote mbili yani linux-UBUNTU na WINDOWS.
 
Je, kama unatumia Ubuntu na Windows, na ukitaka kuitoa Ubuntu bila kutoa Windows inakuwaje?

Wakati unafanya installation ni lazima ufanye disk partion ili kila moja iwe pekeyake. Na unapo unstall UBUNTU baada ya kumaliza ni lazima urudi kwenye windows boot loader ufanye editing ili uweze kufanya single boot kwenye computer yako.
 
Unapoamua kutumia kitu kwanza unaweza kutafuta kwenye search engine mbalimbali uweze kupata elimu zaidi kuhusu kitu hicho , je kitakufaa kwa shuguli zako zote au karibu zote unazopenda kufanya kwa kutumia kitu hicho ? vipi kuhusu msaada ? unaweza kupata msaada wa kitu hicho kama kikileta tatizo popote ulipo ? je kama unataka kutumia vitu vingine kuunganisha na kitu hicho chako hakita leta shinda zingine zozote ?
 
Hello members! Tafadhali naomba kama kuna mtu ana uzoefu na OS ya UBUNTU. Je ni compatible na other MS applications? Nimesikia hii OS haiingizi VIRUS. Naomba elimu kwenye hili plz

Kwa ushauri wangu mimi ukitaka kutumia Ubuntu OS katika Computer yako unayotumia Windows XP OS itabidi upate hard disk yake peke yake na hapo ndipo utaweza ku install Ubuntu kwenye Windows Xp OS hiyo itakuwa bora zaidi mimi ninayo kwenye Computer yangu Ubuntu OS pamoja na Windows XP OS pamoja nikitaka naweza kufunguwa Ubuntu OS nikitaka naweza kutumia Windows XP hakuna wasiwasi ukitaka ku download Ubuntu bonyeza hapa http://www.ubuntu.com/
 
Program za windows hazirun kwenye Ubuntu(Linux) ila kama mdau mwengine alivyosema unaweza kutumia Wine, baadhi ya program zinakubali staili hiyo.
Au unaweza ukainstall VirtualBox ndani ya Ubuntu, halafu uwe unarun Windows ndani ya Ubuntu.

Ubuntu sio kwamba haiwezi kupata Virusi, ila marketshare yake ni ndogo kiasi kwamba virus zinashindwa kuspread, na hakuna virus writer atakayeandika virus isiyospread. And of course program za windows hazifanyi kazi so virus za windows hazifanyi kazi.

Ubuntu unaweza ukaiinstall kama program ndani ya Windows
.
Yaani hauhitaji kufanya partition wala kitu chochote. Ukitaka kuitoa unatumia Unisntall kama program nyingine yoyote. Hii ni option nzuri kama hutaki kudeal na mambo ya partitions nja unataka kubaki na Windows.
 
Kuinstal Ubuntu kama program kwenye windows.

Ingiza CD. Run CD.

Chagua "Install Inside Windows"(Kuanzia Ubuntu 8.04 zina hii Option)

2hz1rnb.png


Weka settings unazotaka, space Ubuntu itakayochukua, password etc
wubi.png


Click Install.

Ikimaliza itakuomba kurestart, restart.

wubi-reboot.png


Umemaliza!

Computer itakapokuwa inarestart itakuwa na menu ya kuchagua unataka Windows au Ubuntu.
boot-screen.jpg


Kuitoa Ubuntu, nenda kwenye Add/Remove programs kwenye windows kama unatoa program nyingine yoyote.
wubi-uninstall_small.png
 
Je, kama unatumia Ubuntu na Windows, na ukitaka kuitoa Ubuntu bila kutoa Windows inakuwaje?

Ukitaka kutumia Ubuntu na Windows OS pamoja itabidi uwe na Hard Disk yake hiyo Ubuntu japo yenye nafasi ya 50 GB iwe tofauti na Hard Disk ya Windows XP kisha Uinstall na kuweka kwenye hiyo Hard Disk yake na ukitaka kuiondowa hiyo Ubuntu na Unakwenda kule Control Panel ADD OR Remove Program na unaiondowa hiyo Ubuntu OS kiurahaisi tu. kwa mfano mimi ninayo kwenye Computer yangu ya Windows XP OS Hard Disk mbili moja ya Windows XP OS na ya pili ndogo ya Ubuntu OS Hard Diski ya WindowsXP ni nimeiweka kwenye Local Hard diski C ya Ubuntu OS nimeiweka kwenye Local Hard disk D ukiwa nazo mbili hizo Hard Diski itakuwa vizuri sana usipate kuichanganya hiyo Computer yako unayotumia WindowsXP na itakuwa rahisi kuiondowa hiyo Ubuntu kwenye Computer yako huo ndio ushauri wangu Ukitaka Ku Download Ubuntu kwenye Local Hard Disk D bonyeza hapa http://www.ubuntu.com/GetUbuntu/download
 
Ubuntu unaweza ukaiinstall kama program ndani ya Windows.
Yaani hauhitaji kufanya partition wala kitu chochote. Ukitaka kuitoa unatumia Unisntall kama program nyingine yoyote. Hii ni option nzuri kama hutaki kudeal na mambo ya partitions nja unataka kubaki na Windows.

Sikubaliani na huu Ushauri wako mimi niliwahi kufanya kama ulivyosema kuweka Ubuntu pamoja na Windows pamoja kwenye Hard Diski moja na kuitumia Ubuntu na Windos Xp Pampja hapo Ubuntu iliharibika yaani kwa kiingereza (corrupt ubuntu) na nikajaribu kuifunguwa Ubuntu OS haifunguki na nimeweka kwenye dual boot iwe inasoma ubuntu ya kwanza kufunguka ni hiyo Ubuntu haijafunguka nikjaribu kuifunguwa Windows haikufunguka mpaka kwanza niweze kubadilisha Ubuntu iwe inasoma kwanza Windows kwenye dual boot ndio itaweza kufunguka niliwahi kufanya hivyo nikajaribu kuifunguwa Ubuntu haikufunguka na nikajaribu kuifunguwa pia Windows XP pia haikufunguka ikabidi nitumie CD ya Windows Xp kuiripea Windows ndipo ilipofunguka Windows Xp .Kwa ushauri wangu lazima uwe na Hard Diksi mbili japo moja ya Windows XP OS na ya pili japo iwe ndogo ya Ubuntu OS itakuwa rahisi hata kama hiyo Ubuntu ikiharibika itakuwa rahisi kuiondowa hata kama kwa ku Format hiyo Local Hard Diski ya Ubuntu huo ndio ushauri wangu Mkuu Kang unajitahidi lakini hapa ume feli Asante.
 
Sikubaliani na huu Ushauri wako mimi niliwahi kufanya kama ulivyosema kuweka Ubuntu pamoja na Windows pamoja kwenye Hard Diski moja na kuitumia Ubuntu na Windos Xp Pampja hapo Ubuntu iliharibika yaani kwa kiingereza (corrupt ubuntu) na nikajaribu kuifunguwa Ubuntu OS haifunguki na nimeweka kwenye dual boot iwe inasoma ubuntu ya kwanza kufunguka ni hiyo Ubuntu haijafunguka nikjaribu kuifunguwa Windows haikufunguka mpaka kwanza niweze kubadilisha Ubuntu iwe inasoma kwanza Windows kwenye dual boot ndio itaweza kufunguka niliwahi kufanya hivyo nikajaribu kuifunguwa Ubuntu haikufunguka na nikajaribu kuifunguwa pia Windows XP pia haikufunguka ikabidi nitumie CD ya Windows Xp kuiripea Windows ndipo ilipofunguka Windows Xp .Kwa ushauri wangu lazima uwe na Hard Diksi mbili japo moja ya Windows XP OS na ya pili japo iwe ndogo ya Ubuntu OS itakuwa rahisi hata kama hiyo Ubuntu ikiharibika itakuwa rahisi kuiondowa hata kama kwa ku Format hiyo Local Hard Diski ya Ubuntu huo ndio ushauri wangu Mkuu Kang unajitahidi lakini hapa ume feli Asante.

Nadhani unaongelea kitu tofauti, njia hii ni kama unainstall program tu, Ubuntu haiwezi kuzuia Windows kufunguka ukitumia "Install Inside Windows". Haibadilishi kitu chochote zaidi ya kujiongeza kwenye Boot menu.
Hii njia ndo salama kuliko zote kama unataka kuexperiment na Ubuntu.

Ukiinstall Ubuntu kwenye harddrive nyingine bado inaondoa Windows boot loader na inaweka GRUB, so ukitoa Ubuntu na GRUB inapotea matokeo yake PC inashindwa kuboot, so inabidi ufanye repair ya Bootloader ili uweze kutumia Windows. Sio kitu rahisi kwa mtu ambaye hajazoea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom