Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Gud excellent,wapo wapi hao?tuna kila hali ya kuanzisha taasisi special for research
halfafu injini yake imetengenezwa kwa nini!!au gari maana yake hilo bodi!
[/QUOTE][Q
Hili gari ni kwa ajili ya matumizi gani, manake unaweza kuwa na ubunifu usio na tija kiuhalisia hebu nisaidieni GTs
UOTE=Money stunna;5124208]View attachment 72879View attachment 72880View attachment 72881View attachment 72882
nini maana ya kusema afrika wametengeneza gari!!kwako gari ni hilo bodi tu!!sema wametengeneza bodi siyo gari!!!nikikupatia bodi la bito tangu utasema nimekupa gari!!mkuu tumia akili kidogo injini itabak kama injini kama ulivyoona tairi,au ulitaka na tairi liwe la makuti!!!
wametengeneza gari au wametengeneza bodi.....
nini maana ya kusema afrika wametengeneza gari!!kwako gari ni hilo bodi tu!!sema wametengeneza bodi siyo gari!!!nikikupatia bodi la bito tangu utasema nimekupa gari!!
vyote wametengeneza gari,ikiwemo body ndani yake,sababu uwez ita gari kama halina body
linamfaaa sana baba rizi hili gari
Hawa wametengeneza mapambo ya gari hilo kuti lipo juu ya chuma.
kwa dunia ya sa hivi??? ni ubunifu wa kijinga na ki uongo uongo maana hao wamebuni bodi la gari sio gari, af halina msaada wowote labda kwa mbaali yatumike kama fahari ya macho tu,,,
its a dislocation of resources!!