Ubunifu katika harusi

Power G

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
3,886
1,193
Wana JF siyo siku zote watu wanafanya harusi za kufanana kwa kukosa ubunifu. Hebu angalieni hizi harusi mpate maujuzi na maubunifu.
 

Attachments

  • Harusi.jpg
    Harusi.jpg
    33.4 KB · Views: 79
  • Harusi2.jpg
    Harusi2.jpg
    24.7 KB · Views: 83
attachment.php

huyu jamaa ama bibie lazmaatakua ni mhandisi,lol. ila sasa ukianza kuulizia kukodi kijiko kimoja kwa ajili ya show za harusi unaweza kukuta limousine ni cheaper. na polisi wa bongo walivyo na masifa,sheria za barabarani zinahusika.muulize magufuli anajua punda haruhusiwi kutumia lami
 
nadhani ile ya kwanza ilikua ni hali tu imetokea na wakaomba msaada wa mkokoteni as other people would do. ila hii ya pili utakuta wote wawili wanafanya kazi kwenye campuni inayo tumia hivyo vifaa na wafanya kazi wenzao wakaamua kuwaonesha sapot kwa kutumua njia hiyo. not bad...
 
Back
Top Bottom