huyu jamaa ama bibie lazmaatakua ni mhandisi,lol. ila sasa ukianza kuulizia kukodi kijiko kimoja kwa ajili ya show za harusi unaweza kukuta limousine ni cheaper. na polisi wa bongo walivyo na masifa,sheria za barabarani zinahusika.muulize magufuli anajua punda haruhusiwi kutumia lami
nadhani ile ya kwanza ilikua ni hali tu imetokea na wakaomba msaada wa mkokoteni as other people would do. ila hii ya pili utakuta wote wawili wanafanya kazi kwenye campuni inayo tumia hivyo vifaa na wafanya kazi wenzao wakaamua kuwaonesha sapot kwa kutumua njia hiyo. not bad...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.