Ubunifu huu wa hoja ulipaswa kupelekwa bungeni.

buffalo44

JF-Expert Member
May 8, 2016
3,069
6,075
2018:NINAOMBA SELIKARI ISIMAMIE YAFUATAYO.

1.Mimba Zipunguzwe Miez Badala Ya 9 Ziwe Miez 4.

2.Nauli Ya Ndege Kwenda South Afrika Iwe Bure Make Ni Mteremko.
3.Sukuma Wiki Ichunguzwe kwa Nini Haiwez Sukuma Mwez Au Mwaka.

4.Siku Za Mwizi Ziwe Walau 90 Sababu Uchumi Umekua Mgumu.

5.kuwepo fom za kwenda jela.

6.Chumvi iuzwe Bei Ya Sukari Na Sukari Bei Ya Chumvi.

7.soda Ijazwe Chupa Hii Tabia Ya Kuacha Nafasi Kdogo Ni Kutuibia.

8.Donati Zisiwe Na Shimo Katikati La Kaz Gan.

9.Vocha Ya Buku iuzwe mia tisa tupate mia za kukwangulia.

10.viwepo vbanda vya chips bata. tumechoka na chips kuku.
 
Mheshimiwa spika, naomba kuongeza hoja mbili tatu:
1 Kama mtoto wa kike anavunja ungo, basi wa kiume avunje mwiko.
2 Kama mbuzi inakuna nazi kondoo nayo ipewe cha kukuna.
3 Mheshimiwa spika tuwasaidie wale wasioota ndoto usiku kwa kuwashauri kuweka mbolea chini ya mito yao.
 
Mheshimiwa spika, naomba kuongeza hoja mbili tatu:
1 Kama mtoto wa kike anavunja ungo, basi wa kiume avunje mwiko.
2 Kama mbuzi inakuna nazi kondoo nayo ipewe cha kukuna.
3 Mheshimiwa spika tuwasaidie wale wasioota ndoto usiku kwa kuwashauri kuweka mbolea chini ya mito yao.

Gombea 2020 una kura yangu.
 
Kama nitabahatika kuwepo bungeni hoja zako zote mheshimiwa nitaziunga mkono zote isipokuwa hoja No.2 haija faida ya moja kwa moja kwa walalahoi.
Huo mwaka nomba mbunge Livingstone Lusinde (kibajaji) awe raisi na mbunge msukuma awe waziri mkuu itapendeza Zaidi
 
Mheshimiwa spika, naomba kuongeza hoja mbili tatu:
1 Kama mtoto wa kike anavunja ungo, basi wa kiume avunje mwiko.
2 Kama mbuzi inakuna nazi kondoo nayo ipewe cha kukuna.
3 Mheshimiwa spika tuwasaidie wale wasioota ndoto usiku kwa kuwashauri kuweka mbolea chini ya mito yao.
 
Back
Top Bottom