MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,773
- 801
Wapi SUMATRA....??? Sasa hivi nimepanda basi kuelekea dom (baada ya kusheherekea ushindi ubungo na kawe) linaitwa SHAHBAL, tiketi imeandikwa sh 12,000 nauli lakini unalazimishwa kulipa 20,000 hautaki hauna safari. Na hii ni kwa magari yote yanayoenda Dodoma. Sijui kwenda mikoa mingine..!!!!