Joeseoc
Member
- Sep 11, 2018
- 65
- 93
Habari wana JF?
Kama tittle inavyojieleza, leo nimeonelea nije kuuliza wana JF kuhusu Ubungo stendi ya mkoa zamani ili nijuzwe.
Baada ya stand kuu ya mabasi Ubungo kuhamia Mbezi, majengo na mabanda pale Ubungo stendi ya zamani yalivunjwa na kuondoshwa na kuna ujenzi naona unaendelea pale, na sasa kunajengwa kama uzio hivi.
Swali langu ni je, ni nini kinajengwa pale? achilia mbali kituo kinachoonekana kama cha mabasi ya mwendo-kasi pembeni, ambacho hicho niliona kilikuwa kikijengwa toka awali hata kabla ya stand kuhama rasmi.
Nawasilisha.
Kama tittle inavyojieleza, leo nimeonelea nije kuuliza wana JF kuhusu Ubungo stendi ya mkoa zamani ili nijuzwe.
Baada ya stand kuu ya mabasi Ubungo kuhamia Mbezi, majengo na mabanda pale Ubungo stendi ya zamani yalivunjwa na kuondoshwa na kuna ujenzi naona unaendelea pale, na sasa kunajengwa kama uzio hivi.
Swali langu ni je, ni nini kinajengwa pale? achilia mbali kituo kinachoonekana kama cha mabasi ya mwendo-kasi pembeni, ambacho hicho niliona kilikuwa kikijengwa toka awali hata kabla ya stand kuhama rasmi.
Nawasilisha.