Ubungo: Mkutano wa mtaa wa Makabe wazuiwa kisa Mnyika

fisi 2

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
3,273
4,626
IMG_1278.JPG

Siasa chafu na mambo ya kijinga sisi wananchi tumenyimwa haki ya kufanya mkutano wa wananchi kisa eti serikali ya mtaa walimwita Mbunge kujibu hoja:
Tuna kero 3 kubwa.
1. Kutapeliwa wananchi na serikali ya mtaa katika zoezi la urasimishaji Ardhi
2. Mradi wa maji umesimama bila sababu. Hatuna majibu
3. Mapato na matumizi ya mtaa hayajulikani miaka 3 sasa.
4. Uchafu umezagaa mtaani na kuhatarisha afya zetu.
5. Usalama ni mdogo sana ujambazi na hata wanawake na watoto kubakwa.
Mkutano unakatazwa kwa Faida ya nani.
 
View attachment 1218043
Siasa chafu na mambo ya kijinga sisi wananchi tumenyimwa haki ya kufanya mkutano wa wananchi kisa eti serikali ya mtaa walimwita Mbunge kujibu hoja:
Tuna kero 3 kubwa.
1. Kutapeliwa wananchi na serikali ya mtaa katika zoezi la urasimishaji Ardhi
2. Mradi wa maji umesimama bila sababu. Hatuna majibu
3. Mapato na matumizi ya mtaa hayajulikani miaka 3 sasa.
4. Uchafu umezagaa mtaani na kuhatarisha afya zetu.
5. Usalama ni mdogo sana ujambazi na hata wanawake na watoto kubakwa.
Mkutano unakatazwa kwa Faida ya nani.
Hivi ni kweli maendeleo hayana chama?
 
View attachment 1218043
Siasa chafu na mambo ya kijinga sisi wananchi tumenyimwa haki ya kufanya mkutano wa wananchi kisa eti serikali ya mtaa walimwita Mbunge kujibu hoja:
Tuna kero 3 kubwa.
1. Kutapeliwa wananchi na serikali ya mtaa katika zoezi la urasimishaji Ardhi
2. Mradi wa maji umesimama bila sababu. Hatuna majibu
3. Mapato na matumizi ya mtaa hayajulikani miaka 3 sasa.
4. Uchafu umezagaa mtaani na kuhatarisha afya zetu.
5. Usalama ni mdogo sana ujambazi na hata wanawake na watoto kubakwa.
Mkutano unakatazwa kwa Faida ya nani.
Mikero mingi hivi makabe mnambunge kweli?
 
View attachment 1218043
Siasa chafu na mambo ya kijinga sisi wananchi tumenyimwa haki ya kufanya mkutano wa wananchi kisa eti serikali ya mtaa walimwita Mbunge kujibu hoja:
Tuna kero 3 kubwa.
1. Kutapeliwa wananchi na serikali ya mtaa katika zoezi la urasimishaji Ardhi
2. Mradi wa maji umesimama bila sababu. Hatuna majibu
3. Mapato na matumizi ya mtaa hayajulikani miaka 3 sasa.
4. Uchafu umezagaa mtaani na kuhatarisha afya zetu.
5. Usalama ni mdogo sana ujambazi na hata wanawake na watoto kubakwa.
Mkutano unakatazwa kwa Faida ya nani.
Ni jambo la kusikitisha sana mkurugenzi na Mkuu Wa wilaya wanawezaje kuwapangia viongozi waliochaguliwa Na wananchi kuhusu kukutana Na wananchi wao? Hill halikubaliki.
 
Ni jambo la kusikitisha sana mkurugenzi na Mkuu Wa wilaya wanawezaje kuwapangia viongozi waliochaguliwa Na wananchi kuhusu kukutana Na wananchi wao? Hill halikubaliki.
Halafu unakuta mtanzania nashangilia kuwa acha wakomeshwe wamezoea.
Viongozi wakisimama majukwaani wanakemea ubaguzi na kusema maendeleo hayana chama.
Hivi huwa wanamaanisha nini haswa!?
 
CCM kila mwaka ni chama kinachopenda madaraka lakini hakipendi maendeleo ya wananchi wake. Uwezi kupenda maendeleo ukazuia wananchi kuongea na viongozi wao.
 
Umeiziwa nyuma na Ccm au imekuchukia mke
CCM kila mwaka ni chama kinachopenda madaraka lakini hakipendi maendeleo ya wananchi wake. Uwezi kupenda maendeleo ukazuia wananchi kuongea na viongozi wao.
 
View attachment 1218043
Siasa chafu na mambo ya kijinga sisi wananchi tumenyimwa haki ya kufanya mkutano wa wananchi kisa eti serikali ya mtaa walimwita Mbunge kujibu hoja:
Tuna kero 3 kubwa.
1. Kutapeliwa wananchi na serikali ya mtaa katika zoezi la urasimishaji Ardhi
2. Mradi wa maji umesimama bila sababu. Hatuna majibu
3. Mapato na matumizi ya mtaa hayajulikani miaka 3 sasa.
4. Uchafu umezagaa mtaani na kuhatarisha afya zetu.
5. Usalama ni mdogo sana ujambazi na hata wanawake na watoto kubakwa.
Mkutano unakatazwa kwa Faida ya nani.
Maendeleo hayana chama ,,,, alisikika mlevi mmoja.!
Mlevi mwengine akasema "sijapata barua ya malalamiko kuzuiliwa kwa mikutano ya wapinzani"

MIJIWANANCHI MMEKAA TU ALAFU MTACHAGUA LI CHAMA LISILO WAJALI, PUMBAV KWELI, YAANI CCM INAWAACHA NA SHIDA KISA MNYIKA, ALAFU MLIVYO WAPUMBAV MTAWACHAGUA HAO CCM,
 
Back
Top Bottom