LUSAJO L.M.
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 270
- 126
Habari toka jimboni Ubungo zinasema kwamba Fomu namba 13C hazijatumwa kata zote za Ubungo. Pia wasimamizi wengi hawahesabu kura kwa kusingizia Fomu namba 16 hazipo. Hata hivo fomu hizo ni kwa ajili ya shahada za Utumishi wa Umma.