Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Boniface Jocob Aliyekua diwani kata ya Ubungo na Meya wa Manispaa ya Ubungo amejiingiza kwenye kazi ya bodabada baada ya kustaafu kazi yake. Kwa sasa ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA anakutana na Profesa Kitila Mkumbo wa CCM pamoja na Saed Kubenea wa ACT.
Lakini mchuano mkali inategemewa kuwa kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?
Lakini mchuano mkali inategemewa kuwa kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?