Ubungo: Boniface Jacob amejiingiza kwenye kazi ya bodabada

Fundi Madirisha

Senior Member
Jun 30, 2020
184
986
Boniface Jocob Aliyekua diwani kata ya Ubungo na Meya wa Manispaa ya Ubungo amejiingiza kwenye kazi ya bodabada baada ya kustaafu kazi yake. Kwa sasa ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA anakutana na Profesa Kitila Mkumbo wa CCM pamoja na Saed Kubenea wa ACT.

Lakini mchuano mkali inategemewa kuwa kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?
 
Mkumbo asitegemee kura kutoka Ubungo.
Akafundishe Chuo kikuu siasa awaachie wanasiasa wenyewe.
CCM wameharibu sana nchi hii.
Maprofesa wanakimbia taaluma zao kwa sababu ya kutafuta mishahara minono wanasiasa wa CCM waliyojiwekea ili warithishane utawala na marafiki zao.
Wasomi kwenye taaluma zao mishahara ni midogo na hawana heshima kubwa kutokana na sheria kuwapendelea wanasiasa hasa wa CCM.

Kitilia Mkumbo kama watanzania wataamua kupinga dhulma na kuwakataa watu wenye dhulma kutumia kodi zao asitegemee kamwe kushinda uchaguzi Ubungo.

Hata hivyo siasa za hovyo za Mlevi Mbowe zimesababisha Kubeniea akajitoa Ndani ya Chadema na sasa watagawana Kura na Jakob ,jambo litakalosababisha CCM ipate unafuu japo kwa kura za jumla Mkumbo hatashinda.

Tangu lini CCM ikawapenda watu wa Ubungo na Kimara kama sio kuwatumia tu kupata madaraka na kwenda Kujimwambafai Kule Iramba?
Anachotafuta Mkumbo ni namna ya kupata uwaziri na kula kodi za watanzania lakini hana mapenzi na wana Ubungo . Huo ndio ukweli na watu wa Ubungo wasikubali kumchagua MTU toka Chama cha Kibaguzi kinachowagawa watu kwa namna mbali mbali kisa ni madaraka.
Amewadhulmu watu kwenye sanduku la kura na sasa wanatoa lugha za kibaguzi.
Hakuna haja ya kuwachagua CCM hasa wabunge na madiwani.
Tangu Lini Mkumbu akawa mtetezi wa watu wa Ubungo. Tuache tamaa.
Toshekeni nyie CCM siku moja mtaagwa tu kwa mbwembwe lakini hamtarudi Tena. Mkiyajua hayo mtajifunza kuwa wanyenyekevu na watenda haki. Mtajenga majumba na hamtayakaa mana Mungu hapendezwi na dhulma.
Tunataka uchaguzi wa haki na amani na Uhuru ili tuone nani moyo wa kuwapigania wananchi kwa namna yoyote bila kujali maslahi.
 
Ubungo na Kibamba ccm wasitegemee. Bomoa bomoa ya ajabu ya kiunezi na kutamkwa maneno ya wazi kuwa nitawabomolea makazi yao kwasababu hawakunichagua. Kitila Mkumbo nenda kalale. ubngo mpaka kibamba ccm hamtaambulia hata kidogo
 
Mkumbo asitegemee kura kutoka Ubungo.
Akafundishe Chuo kikuu siasa awaachie wanasiasa wenyewe.
CCM wameharibu sana nchi hii.
Maprofesa wanakimbia taaluma zao kwa sababu ya kutafuta mishahara minono wanasiasa wa CCM waliyojiwekea ili warithishane utawala na marafiki zao.
Wasomi kwenye taaluma zao mishahara ni midogo na hawana heshima kubwa kutokana na sheria kuwapendelea wanasiasa hasa wa CCM.

Kitilia Mkumbo kama watanzania wataamua kupinga dhulma na kuwakataa watu wenye dhulma kutumia kodi zao asitegemee kamwe kushinda uchaguzi Ubungo.

Hata hivyo siasa za hovyo za Mlevi Mbowe zimesababisha Kubeniea akajitoa Ndani ya Chadema na sasa watagawana Kura na Jakob ,jambo litakalosababisha CCM ipate unafuu japo kwa kura za jumla Mkumbo hatashinda.

Tangu lini CCM ikawapenda watu wa Ubungo na Kimara kama sio kuwatumia tu kupata madaraka na kwenda Kujimwambafai Kule Iramba?
Anachotafuta Mkumbo ni namna ya kupata uwaziri na kula kodi za watanzania lakini hana mapenzi na wana Ubungo . Huo ndio ukweli na watu wa Ubungo wasikubali kumchagua MTU toka Chama cha Kibaguzi kinachowagawa watu kwa namna mbali mbali kisa ni madaraka.
Amewadhulmu watu kwenye sanduku la kura na sasa wanatoa lugha za kibaguzi.
Hakuna haja ya kuwachagua CCM hasa wabunge na madiwani.
Tangu Lini Mkumbu akawa mtetezi wa watu wa Ubungo. Tuache tamaa.
Toshekeni nyie CCM siku moja mtaagwa tu kwa mbwembwe lakini hamtarudi Tena. Mkiyajua hayo mtajifunza kuwa wanyenyekevu na watenda haki. Mtajenga majumba na hamtayakaa mana Mungu hapendezwi na dhulma.
Tunataka uchaguzi wa haki na amani na Uhuru ili tuone nani moyo wa kuwapigania wananchi kwa namna yoyote bila kujali maslahi.
"Toshekeni nyie CCM.. " mkuu umeandika kwa hisia sana, ila umeandika ukweli mtupu. Kitila hana uchungu wowote na wanaubungo zaidi ya kuhangaikia namna ya kutunisha account yake ya benki kwa ajili yake na wale wanaomtegemea kupitia ubunge na uwaziri.
 
Boniface Jocob Aliyekua diwa diwani kata ya Ubungo na Meya wa Manispaa ya ubungo amejiingiza kwenye kazi ya bodabada baada ya kustaafu kazi yake. Kwa sasa ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA anakutana na Profesa Kitila Mkumbo wa CCM pamoja na Saed Kubenea wa ACT.

Lakini mchuano mkali inategemewa kua kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?
Bodaboda anatufaa
 
Mkumbo asitegemee kura kutoka Ubungo.
Akafundishe Chuo kikuu siasa awaachie wanasiasa wenyewe.
CCM wameharibu sana nchi hii.
Maprofesa wanakimbia taaluma zao kwa sababu ya kutafuta mishahara minono wanasiasa wa CCM waliyojiwekea ili warithishane utawala na marafiki zao.
Wasomi kwenye taaluma zao mishahara ni midogo na hawana heshima kubwa kutokana na sheria kuwapendelea wanasiasa hasa wa CCM.

Kitilia Mkumbo kama watanzania wataamua kupinga dhulma na kuwakataa watu wenye dhulma kutumia kodi zao asitegemee kamwe kushinda uchaguzi Ubungo.

Hata hivyo siasa za hovyo za Mlevi Mbowe zimesababisha Kubeniea akajitoa Ndani ya Chadema na sasa watagawana Kura na Jakob ,jambo litakalosababisha CCM ipate unafuu japo kwa kura za jumla Mkumbo hatashinda.

Tangu lini CCM ikawapenda watu wa Ubungo na Kimara kama sio kuwatumia tu kupata madaraka na kwenda Kujimwambafai Kule Iramba?
Anachotafuta Mkumbo ni namna ya kupata uwaziri na kula kodi za watanzania lakini hana mapenzi na wana Ubungo . Huo ndio ukweli na watu wa Ubungo wasikubali kumchagua MTU toka Chama cha Kibaguzi kinachowagawa watu kwa namna mbali mbali kisa ni madaraka.
Amewadhulmu watu kwenye sanduku la kura na sasa wanatoa lugha za kibaguzi.
Hakuna haja ya kuwachagua CCM hasa wabunge na madiwani.
Tangu Lini Mkumbu akawa mtetezi wa watu wa Ubungo. Tuache tamaa.
Toshekeni nyie CCM siku moja mtaagwa tu kwa mbwembwe lakini hamtarudi Tena. Mkiyajua hayo mtajifunza kuwa wanyenyekevu na watenda haki. Mtajenga majumba na hamtayakaa mana Mungu hapendezwi na dhulma.
Tunataka uchaguzi wa haki na amani na Uhuru ili tuone nani moyo wa kuwapigania wananchi kwa namna yoyote bila kujali maslahi.
Wengine ndio hao wana sema wameokotwa jalalani
 
Boniface Jocob Aliyekua diwa diwani kata ya Ubungo na Meya wa Manispaa ya ubungo amejiingiza kwenye kazi ya bodabada baada ya kustaafu kazi yake. Kwa sasa ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA anakutana na Profesa Kitila Mkumbo wa CCM pamoja na Saed Kubenea wa ACT.

Lakini mchuano mkali inategemewa kua kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?
What is your point ?
 
Disguise theft ya siasa ndio hii.
Act poor,act broke. Maskinj watafikiri upo nao sawa kumbe unawaibia.
 
Hata hivyo siasa za hovyo za Mlevi Mbowe zimesababisha Kubeniea akajitoa Ndani ya Chadema na sasa watagawana Kura na Jakob ,jambo litakalosababisha CCM ipate unafuu japo kwa kura za jumla Mkumbo hatashinda.
Wachekesha sana kwa hoja ungaunga. Kabla ya kuingia CHADEMA, Kubenea alikuwa CUF. Yuko huru na ana haki ya kuamua kwenda anakotaka bila kulazimika kubumba sababu kama watoto
 
"Toshekeni nyie CCM.. " mkuu umeandika kwa hisia sana, ila umeandika ukweli mtupu. Kitila hana uchungu wowote na wanaubungo zaidi ya kuhangaikia namna ya kutunisha account yake ya benki kwa ajili yake na wale wanaomtegemea kupitia ubunge na uwaziri.
Kweli kabisa kuna mambo yanapofanyiwa binadamu ni lazima yafanywe kwa heshima na utu mana wacha Mungu tunaamini binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu.

Mkapa alipunguza wafanyakazi alipoingia madarakani na kuwalipa.Walisema amefanya redundance.
Kuna wengi walipate hela nzuri tu na wakawa wajasiriamali wazuri ,wengine wakajenga magesti wengine wakanunua gari za abiria na wengine mpaka Leo waliacha familia zao zikiwa na maisha mazuri kwa baada ya kulipwa mafao yao ya kupunguzwa kazini.

Hebu fikiri binadamu sio manyama anavunjiwa nyumba anayoishi na familia yake na watoto wake wakubwa na wadogo,kuna paka ,mbwa ,kuku, bata, njiwa ,mfanyakazi wa ndani n.k. halafu anaachwa nje tu bila kulipwa chochote wala kupewa kiwanja kingine kwenye ardhi aliyoiumba Mwenyezi Mungu, sio mungu wa CCM bali Mungu wa wote muumba wa mbingu na ardhi. Mtu anaachwa kama mbu aliyepuliziwa dawa ili asieneze malaria.
Yaani hata wanayama kule Serengeti hawatendewi hivyo wanapovamia makazi ya watu na Mara nyingine wanaua watu lakini bado wanapelekwa kwa utaratibu mzuri kwenye hifadhi yao au nyingine. Oooh, my God ,wapo wapi watu wanamjua Mungu na thamani ya mwanadamu wakamfukuze Mkumbo kwenye sanduku la kura kama vile wanavyomfukuza pepo mchafu aliyemwingia mwanadam ndani ya nyumba ya ibada?
Mkumbo hajawahi kuona maumivu ya wanadamu waliokua wanalala nje na familia zao kwa sababu ya kujenga mapiramidi yanayoitwa barabara kama enzi za Farao.!
Heshima ya mwanadamu ni kubwa kuliko kitu chochote.
Mkumbo hastahili hata kuweka picha yake kwenye karatasi ya kura kuwaomba wanadamu wanaoishi Ubungo wala Kibamba wampigie kura kupitia CCM, Chama cha watu katili kuliko Wakoloni wa Kireno.
 
Boniface Jocob Aliyekua diwa diwani kata ya Ubungo na Meya wa Manispaa ya ubungo amejiingiza kwenye kazi ya bodabada baada ya kustaafu kazi yake. Kwa sasa ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA anakutana na Profesa Kitila Mkumbo wa CCM pamoja na Saed Kubenea wa ACT.

Lakini mchuano mkali inategemewa kua kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?
Bodaboda atashinda mapema.
 
Boniface Jocob Aliyekua diwa diwani kata ya Ubungo na Meya wa Manispaa ya ubungo amejiingiza kwenye kazi ya bodabada baada ya kustaafu kazi yake. Kwa sasa ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA anakutana na Profesa Kitila Mkumbo wa CCM pamoja na Saed Kubenea wa ACT.

Lakini mchuano mkali inategemewa kua kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?
Kazi ni kazi hata kusukuma mavi ni kazi tu

By Sir Nature!
 
huyu mkumbo wakati mwigulu yuko bench alikuwa anashinda kwenye jimbo la mwigulu anatangaza nia, sasa sababu wanajua watatuamia mabavu kuanzia kwenye kampeni, upigaji kura, uhesabuji na utangazaji wa matokeo, baada ya mwigulu kurudi madarakani kakimbilia ubungo. kajinga sana haka ka professor, uroho wa madaraka umekafupisha akili.
 
Kweli kabisa kuna mambo yanapofanyiwa binadamu ni lazima yafanywe kwa heshima na utu mana wacha Mungu tunaamini binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu.

Mkapa alipunguza wafanyakazi alipoingia madarakani na kuwalipa.Walisema amefanya redundance.
Kuna wengi walipate hela nzuri tu na wakawa wajasiriamali wazuri ,wengine wakajenga magesti wengine wakanunua gari za abiria na wengine mpaka Leo waliacha familia zao zikiwa na maisha mazuri kwa baada ya kulipwa mafao yao ya kupunguzwa kazini.

Hebu fikiri binadamu sio manyama anavunjiwa nyumba anayoishi na familia yake na watoto wake wakubwa na wadogo,kuna paka ,mbwa ,kuku, bata, njiwa ,mfanyakazi wa ndani n.k. halafu anaachwa nje tu bila kulipwa chochote wala kupewa kiwanja kingine kwenye ardhi aliyoiumba Mwenyezi Mungu, sio mungu wa CCM bali Mungu wa wote muumba wa mbingu na ardhi. Mtu anaachwa kama mbu aliyepuliziwa dawa ili asieneze malaria.
Yaani hata wanayama kule Serengeti hawatendewi hivyo wanapovamia makazi ya watu na Mara nyingine wanaua watu lakini bado wanapelekwa kwa utaratibu mzuri kwenye hifadhi yao au nyingine. Oooh, my God ,wapo wapi watu wanamjua Mungu na thamani ya mwanadamu wakamfukuze Mkumbo kwenye sanduku la kura kama vile wanavyomfukuza pepo mchafu aliyemwingia mwanadam ndani ya nyumba ya ibada?
Mkumbo hajawahi kuona maumivu ya wanadamu waliokua wanalala nje na familia zao kwa sababu ya kujenga mapiramidi yanayoitwa barabara kama enzi za Farao.!
Heshima ya mwanadamu ni kubwa kuliko kitu chochote.
Mkumbo hastahili hata kuweka picha yake kwenye karatasi ya kura kuwaomba wanadamu wanaoishi Ubungo wala Kibamba wampigie kura kupitia CCM, Chama cha watu katili kuliko Wakoloni wa Kireno.

Nashukuru kwa kuliona hili. Makazi ya watu walibomolewa bila hata fidia. Nililazimika kupokea familia mbili nyumbani kwangu tukaishi zaidi ya miezi sita huku Kibaha. Walibomolewa kibabe sana na hasara kubwa walipata. Alafu manina mtu anasema anataka kura yako. yaani ili kuondoa fedheha pigeni hata mishale hao sisiemu. Manina zao, yaani kitila anataka kuletamatako yake hapo ubungo yawasaidie nini?

Angalia hata jengo lililokuwa linatumiwana Tanesco hapo ubungo, lilibomolewa kwa uonevu tu hata barabara yenyewe haijafika hata kidogo hata kugusa eneo tu haijafika.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom